Car4Sale Tunauza na kukopesha magari

Mkuu, 35% ya milioni 15.5 sio milioni 6.5 ni milioni 5.4
 
Damn bro. Upo smooth kama snoop dog anachana kwenye mic [emoji441] anaflow kwa vina kwa mistari yenye nondo nzito na maneno tata yanayokamata akili na kulipuka na kisogo.
 
Sawa
 
Hamkodishi magari kwa matumizi ya siku au siku kadhaa?
 
Nitafutie basi kwa aili ya njia ya vumbi......
 
Vipi kwa mie ambae mara kwa mara naenda Burundi, Kenya au Uganda na ikiwa gari haitakiwi kutoka nje ya nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…