dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
- #2,201
Hiyo ndio bei ya mbezi beach mkuu ukitakujua hili ingia kwenye goole uliziaPrice per SQM Tsh. 291,666.66
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio bei ya mbezi beach mkuu ukitakujua hili ingia kwenye goole uliziaPrice per SQM Tsh. 291,666.66
[emoji23]Nampa za chembe mapemaaaa
Sina uhakika mkuu ila hii iko goba na inauzwaHii s ndio picha ya nyumba iliopostiwa inapangishwa milion 1 kwa mwezi boko...? Afu sa hv inauzwa goba how....?[emoji28][emoji28][emoji16][emoji28][emoji16][emoji28][emoji16]
Haina mgogoro wa mkopo mkuu.karibuNyumba ina mkopo wa bank au mgogoro?
Mkuu karibu tukuuzie nyumba achana na kupanga watoto watakosa cha kurithiNyumba za siku hizi hazina msimamo kabisa, zinahama hama sana. Unaweza kujenga nyumba yako Oyster Bay, ghafla unaikuta iko Vinginguti Kiembembuzi
Najua ni cheap ukilinganisha na Apartment za NHC Morocco Square.Hiyo ndio bei ya mbezi beach mkuu ukitakujua hili ingia kwenye goole ulizia
Shukran mkuu tupo pamojaNajua ni cheap ukilinganisha na Apartment za NHC Morocco Square.
Sawa mkuu takutafutaKaribu sana mkuu hata kama nitauza hii ila nyingine ninazo
Poa sana mkuuSawa mkuu takutafuta
Unatangazaje Biashara ukiwa hauna uhakika??ndio maana mnashauriwa kutembelea site husika physically kujionea kwa macho,unapiga picha mwenyewe ndio unakuja kutangaza,sio umekaa Bar unatumiwa tu picha Whatsapp nawe unatangaza,ona sasa unaulizwa unajibu HUNA UHAKIKA,kama wewe mleta Tangazo huna uhakika unataka mnunuzi apate uhakika wapi??Sina uhakika mkuu ila hii iko goba na inauzwa
Sawa mkuu maoni yako nimeyapokea na nitayafanyia kazi.asanteUnatangazaje Biashara ukiwa hauna uhakika??ndio maana mnashauriwa kutembelea site husika physically kujionea kwa macho,unapiga picha mwenyewe ndio unakuja kutangaza,sio umekaa Bar unatumiwa tu picha Whatsapp nawe unatangaza,ona sasa unaulizwa unajibu HUNA UHAKIKA,kama wewe mleta Tangazo huna uhakika unataka mnunuzi apate uhakika wapi??
Maji yapo mkuu na kwa uhakika zaidi karibu ujionee mwenyeweMtoa tangazo Nina wasiwasi na we kuwa mkweli Goba mpakani ipi ambayo Kuna maji ya dawasa?kuwa mkweli kutoka tegeta A,makabe,Goba mpakani mpaka msumi kote maji ya dawasa bado hayajaanza kutoka sema mradi unajengwa kuliko kumuaminisha mtu kuwa maji yapo halafu anafika anakuta maji Ni ya kuagiza kwa wenye magari wakuletee kutoka mbezi
Ukiwapa vijana wataliuwa hilo shirika asubh kweupeNgoja tumtafute bashe, mimi naona ni vizuri serikali ikanunua, liwe kama shirika ili lijiendeshe lenyewe hapo baadaye. Ajira kwa vijana hizo.
Ndio mkuu hiyo bei inajumlisha shamba na thamani zote zilizopo ndani yake ikiwemo na magari yotepamoja na vitu vyote vilivyopo ndani ya shamba bado bei yake ya kuuzia kwa heka moja ni Tsh 2m. Fafanua. Tractor ipo kwa hii bei ya per hectare?
Hiyo tittle deed ni ya 99 years?Ndio mkuu hiyo bei inajumlisha shamba na thamani zote zilizopo ndani yake ikiwemo na magari yote
🤣🤣Nyumba za siku hizi hazina msimamo kabisa, zinahama hama sana. Unaweza kujenga nyumba yako Oyster Bay, ghafla unaikuta iko Vinginguti Kiembembuzi