Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

KIWANJA KINAUZWA MBWENI JKT

Kiwanja kimetizamana na lami kama kitakavyoonyesha kwenye picha
Kimepimwa na kina hati.
Size plot 1200 SQM
Bei Tsh 130m
Maongezi zaidi 0756060183.

 
KIWANJA KINAUZWA MBWENI MALINDI BLOCK 8

Kiwanja kizuri na kipo karibu na Lami.

Size plot 960 sqm
Kiwanja kimepimwa na kina hati
Bei Tsh 70m
Maongezi 0756060183
 
KIWANJA KINAUZWA MBEZI BEACH

Kiwanja kipo mbezi Beach Afrikana jirani na roundabout ya whitesand hotel
Size plot 2000 SQM
Kiwanja kimepimwa na kina hati

Bei Tsh 550m
Maongezi zaidi 0756060183

 
NYUMBA INAUZWA TEGETA WAZO

Nyumba bado ni mpya kabisa na bado vitu vidogovidogo vya kumalizia ina vyumba 3 self nk Size plot 800 SQM
Bei Tsh 50m.

Maongezi zaidi wasiliana nami 0756060183

 
NYUMBA INAUZWA MBWENI MPIJI

Nyumba ipo jirani kabisa na lami
Bei Tsh 80m ipo mbweni mpiji ina vyumba v5 vyumba v2 ni self jiko kubwa PUBLICK toilet stingroom Dainingroom nyumba ina hati
Ukubwa wa uwanja 800 SQM

Maongezi zaidi wasiliana nami kwa 0756060183
 
HOUSE FOR SALE - MOROGORO MJINI
▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃

SIFA ZA NYUMBA.

[emoji1542] Ukubwa wa Kiwanja: * 1,174 sqm*
[emoji1542] Vyumba vinne vya kulala, vyote Master
[emoji1542] Jiko kubwa sana lenye Makabati na tiles mpaka ukutani
Sebule kubwa sana
[emoji1542] Dining,
[emoji1542] Choo cha public
[emoji1542] Library
[emoji1542] Chumba kidogo kwa ajili ya watoto kucheza
[emoji1542] Milango ya Security toka Uturuki
[emoji1542] Jiko la nje, Store ya Nje,
Shimo kubwa la kuvuna maji ya Mvua (Lenye ujazo wa 80,000 ltrs
[emoji1542] Paving uwanja mzima (imebaki sehem kidogo kwa ajili ya kulima mbogamboga)
[emoji1542] Fence kubwa
[emoji1542] Umeme umeshaingia
[emoji1542] Mifumo ya maji imeshakamilika
[emoji1542] Full documents (ina HATI)

Ipo Morogoro (Mkundi Sheli, distance ni 1.3 KM kutoka Barabara kuu ya kwenda Dodoma)

Price: Tsh. 270,000,000/=
▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ ▃
Call and WhatsApp for more details.
+255756060183
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…