dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #561
Mkuu naomba nikuuzie kiwanja hiki ujenge taratibu taratibu,hii nyumba imecost hela nyingi haiwezi kuuzwa kwa hiyo ofa yako.Ml 10 hauchukui mkuu....
Shukrani sana mkuuBei iko fair kabisa
Ova
Karibu mkuu uone nyumba thn tutaongea na mwenyeweKamata 45 chapu.
Karibu mkuupoa nitakucheki mkuu
Asante mkuu kwa ushauri wako, karibu ukione haya maoni yako yatazingatiwaMkuu..dege mbali kwa bei hyo na sqm hzo punguza bei iwe reasonable.....fanya 8 m
Mkuu nipigie tuongee 0756060183Mkuu..dege mbali kwa bei hyo na sqm hzo punguza bei iwe reasonable.....fanya 8 m
Kweli kabisa mkuuBei iko fair kabisa
Ova
Hahaaa pw sana mkuu na asante sana.Nyumba nzuri, bei pia nzuri. Kila la kheri mkuu, me nasubiri mkeka wangu wa jackpot utiki
Duh ingawa tunauhitaji wa hela ila umeshusha sana mkuu kusema kweliChukua 20m,iko mfuko wa shati hapa.
Mkuu wewe unataka ya bei gani?Hakuna Nyumba Ya Mil 90 Hapo ,