Sawa mkuu nikienda site nitafanya hivyo., ila pia ukipata nafasi fanya tu upitie uangalalie moj kwa mojaWeka picha za ndani au layout
no thank you, najua hizo sehem zinajaa majiUkubwa wa kiwanja 1200 SQM
Ukubwa wa nyumb ni vyumba 4 vyote ni self,stingroom nk
Mbweni moga au kwa jina la kiserikali mbweni Mpigi
Mkuu mbweni moga haina maji kabisa lambda unazichanganya.. mbweni yenye maji ni mbweni Teta na si moga ila kama unahitaji nyumba kutembea na kuona mazingira sio vibayano thank you, najua hizo sehem zinajaa maji
Bei inazungumzika hii mkuuHii ndo nyumba sasa nyingine kelele tu humu[emoji122][emoji122]
Ila hiyo bei[emoji1][emoji1]
Ni nyumba moja kwa mbili..imegawanywambona huo ukuta umeikata kati kati
Picha chache....side view,front view,over view,inside view.... Nyumba n picha sio vigezo tu vya maandshiNi nyumba moja kwa mbili..imegawanywa
Nini tatzo ndg?Ukweli nachukia iki kitabia chako mkuu uyu unae cc ndo bwashee wako?
Mana kila post unamuita
Nashkr sana ndg