Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Hata Milioni 200 hapati. Huko nyuma watu wakitakatisha fedha ya mihadarati angepata. Lakini Leo hela kuhangaika hivi anunue nyumba sehemu sio prime area kwa being mbya ni ndoto. Angalia matangazo Sikh hizi nyumba upanga vyumba vitatu Milioni 200, ingawa ni sehemu ya ghorofa lakini ni mjini kati. Hiyo hata Milioni 200 cash hapati. Ni ukweli mchungu umeze tu.
Mkuu nitakuja kukupa mrejesho maana mpaka sasa nimeshapokea ofa
 
moja ya ndoto yangu ni kujenga nyumba yangu ya pili ununio au mbezi beach means umabli kutoka bahari usiwe zaid ya 10km am still fighting.
ukipata viwanja kuanzia 10m naomba nicheki pm boss location nataka maeneo hayo
Pamoja sana mkuu
 
Una ela wewe
Wakati juzi tu nimeshuhudua shamba la heka 10 linauzwa kwa milioni 250

Sio kila anayenunua nyumba kama hiyo atataka aishi wengine hununua kuwekeza au kuhifadhi pesa tu

Serikali ya sasa km unataka kuhifadhi pesa yako bila bughuza niherii uhifadhi pesa katika kununua propert km hizo
kuliko kuhifadhi pesa bank hata kutoa au kuweka tu milioni 20 tu maswari kibaoooo kwani zako wkt wa kutafuta mlinisaidia
Km nyinyi mko vizuri nichunguzeni kwa muda wenu mkinikuta na hatia nikamateni
Sio kila kiasi mnauliza uliza
Asante sana mkuu kwa maelezo na uchambuzi mzuri
 
Hata Milioni 200 hapati. Huko nyuma watu wakitakatisha fedha ya mihadarati angepata. Lakini Leo hela kuhangaika hivi anunue nyumba sehemu sio prime area kwa being mbya ni ndoto. Angalia matangazo Sikh hizi nyumba upanga vyumba vitatu Milioni 200, ingawa ni sehemu ya ghorofa lakini ni mjini kati. Hiyo hata Milioni 200 cash hapati. Ni ukweli mchungu umeze tu.
Yaani nyie watu mnavyoongea mnaweza kusema hiyo mihadarati na money laundering ilikuwa inafanywa na kila mtu!!! Wanunuzi waliopungua ni wale wa nyumba za 50M, au sana sana 100M ambao majority ni baadhi ya kada za utumishi wa umma waliokuwa wanategemea maposho ya safari za nje and all that!!! Lakini wanunuzi wa nyumba za 9 figures bado wapo! Na mtakuwa mnajidanganya sana mkidhani hakuna wauza sembe; waliopungua ni wachuuzi wa sembe kwa staili ya kumeza pipi!!
 
Nyumba iko Goba njia nne mtaa wa magorifani uzunguni mita chache kutoka round about kama unaelekea Madale

Nyumba ina vyumba 4 vyote ni self
Size plot 1500 SQM
Bei 395m
Maongezi zaidi 0756060183

20210120_132254.jpg
20210120_132307.jpg
20210120_132216.jpg
20210120_132039.jpg
20210120_131935.jpg
20210120_132132.jpg
20210120_131942.jpg
20210120_131935.jpg
 

Attachments

  • 20210120_131935.jpg
    20210120_131935.jpg
    164 KB · Views: 3
Back
Top Bottom