dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #781
Kweli mkuu na huo ndio uhalisia wa bei za nyumba maeneo haya..karibu mkuu uishiMkuu finishing ya hiyo nyumba inaweza kukaribia gharama zilizotumika kuinua hilo boma na kupaua. kwa hiyo hapo unazungumzia jengo la milioni 500+
Nakubaliana na wewe mkuu maana hapo bado hujathaminisha ardhi ni jengo peke yake. so ni reasonableKweli mkuu na huo ndio uhalisia wa bei za nyumba maeneo haya..karibu mkuu uishi
Iko Simikeununio ndio wapi wandugu? KWA SISI WA MIKOANI
Ukiwa unatokea mjini unapita kunduchi,bahari beach then Ununioununio ndio wapi wandugu? KWA SISI WA MIKOANI
Hahaa hii nyumba ndgHiyo nyumba au Shule?
Kweli kabisa mkuuNakubaliana na wewe mkuu maana hapo bado hujathaminisha ardhi ni jengo peke yake. so ni reasonable
Asante sana mkuu na karibu sanaBei nzuri!
Asante sana mkuu na karibu sana
Simike ndo wapi pia?Iko Simike
[emoji16][emoji16][emoji16]Iko Simike
Hata Milioni 200 hapati. Huko nyuma watu wakitakatisha fedha ya mihadarati angepata. Lakini Leo hela kuhangaika hivi anunue nyumba sehemu sio prime area kwa being mbya ni ndoto. Angalia matangazo Sikh hizi nyumba upanga vyumba vitatu Milioni 200, ingawa ni sehemu ya ghorofa lakini ni mjini kati. Hiyo hata Milioni 200 cash hapati. Ni ukweli mchungu umeze tu.Simike ndo wapi pia?
Awamu hii unayoita ngumu Laizer kajenga shule ya M.466 na kuipa serekali.Hata Milioni 200 hapati. Huko nyuma watu wakitakatisha fedha ya mihadarati angepata. Lakini Leo hela kuhangaika hivi anunue nyumba sehemu sio prime area kwa being mbya ni ndoto. Angalia matangazo Sikh hizi nyumba upanga vyumba vitatu Milioni 200, ingawa ni sehemu ya ghorofa lakini ni mjini kati. Hiyo hata Milioni 200 cash hapati. Ni ukweli mchungu umeze tu.
Una ela weweHata Milioni 200 hapati. Huko nyuma watu wakitakatisha fedha ya mihadarati angepata. Lakini Leo hela kuhangaika hivi anunue nyumba sehemu sio prime area kwa being mbya ni ndoto. Angalia matangazo Sikh hizi nyumba upanga vyumba vitatu Milioni 200, ingawa ni sehemu ya ghorofa lakini ni mjini kati. Hiyo hata Milioni 200 cash hapati. Ni ukweli mchungu umeze tu.