Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Mkuu nitakuja kukupa mrejesho maana mpaka sasa nimeshapokea ofa
 
moja ya ndoto yangu ni kujenga nyumba yangu ya pili ununio au mbezi beach means umabli kutoka bahari usiwe zaid ya 10km am still fighting.
ukipata viwanja kuanzia 10m naomba nicheki pm boss location nataka maeneo hayo
Pamoja sana mkuu
 
Asante sana mkuu kwa maelezo na uchambuzi mzuri
 
Yaani nyie watu mnavyoongea mnaweza kusema hiyo mihadarati na money laundering ilikuwa inafanywa na kila mtu!!! Wanunuzi waliopungua ni wale wa nyumba za 50M, au sana sana 100M ambao majority ni baadhi ya kada za utumishi wa umma waliokuwa wanategemea maposho ya safari za nje and all that!!! Lakini wanunuzi wa nyumba za 9 figures bado wapo! Na mtakuwa mnajidanganya sana mkidhani hakuna wauza sembe; waliopungua ni wachuuzi wa sembe kwa staili ya kumeza pipi!!
 
Nyumba iko Goba njia nne mtaa wa magorifani uzunguni mita chache kutoka round about kama unaelekea Madale

Nyumba ina vyumba 4 vyote ni self
Size plot 1500 SQM
Bei 395m
Maongezi zaidi 0756060183

 

Attachments

  • 20210120_131935.jpg
    164 KB · Views: 3
Nije na drill tupime ubora wa concrete kabla sijalipia cash?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…