Ni kule aliko okotwa Roma Mkatoliki na wenzake kipindi kile baada ya kutekwa na Watu wasiojulikana.Ununio ni wapi?
Kwann unasema ivyo mkuu?Hili ghorofa lilijengwa kimasikini sana tena kwa ramani ya kizamani. Kuliuza ni kazj
Mungu akujalie mkuuAlooo natamani nipite short cut niinunue maana vifaa vya ujenzi vimepanda balaaa
Ni mitaa fulani ya kishua hivi...unapita kunduchi,Bahari beach then unaingia Ununio kabla ya mbweni JktUnunio ni wapi?
Karibu sana mkuuAisee...
Ahsante mkuu. Mzigo haujatosha.Karibu sana mkuu
Hili ghorofa lilijengwa kimasikini sana tena kwa ramani ya kizamani. Kuliuza ni kazj
Karibu sana mkuu.usiogope hii bei ina maongeziHii kiwanja location imetulia lakini bei
Karibu sana mkuuNyumba iliyonyanyuka kuiona kesho.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sasa ya kwako iliyojengwa kitajiri iko wapi tuione mkuu?Hili ghorofa lilijengwa kimasikini sana tena kwa ramani ya kizamani. Kuliuza ni kazj