dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #1,621
Utapeli uko kila mahali mkuu ila uzuri ni kwamba kitu chochote kabla hujanunua unatakiwa kufanya uchunguzi wa kina na zaidi sana kufuatilia kwenda ardhi ambao ndio wenye mamlaka ya kujua nani mwenye kiwanja.Bahari beach kuna utapeli mwingi sana wa viwanja kuweni makini
Hahaa njoo nikupe vingine vipo vinavyofaa kwa shughuli yakoNikodishie nilaze magari hapo
Kweli mkuu, acha nipite mbaliNdio ndg..maisha tunatofautiana sana
Aiseeh poleni sana. Ila hayo matukio kwenye jamii hayakosekani ila kununua kiwanja chenye hati ni vizuri zaidi.Kuna Anko wangu alitapeliwaga mil50 cha kiwanja tegeta na alietapeli Ana nyumba pale pale jirani kdg kwenda polisi jamaa akakamatwa akawekwa ndani kesho yake ndugu zangu wanafatilia kesi wanakuta mtuhumiwa kaaachiwa halaf wao ndo wamefunguliwa mashtaka yakudhuru mwili kdg polisi wanataka kuwaweka ndani ikabidi Hao ndugu wahonge tena Ili kesi iishe na ndo hivo wakapotezea 50mil yao
Usipite mbali mkuu..karibu nikuuzie ninavyo vya bei ya chini kidogoKweli mkuu, acha nipite mbali
Naomba picha zake kwenye hiyo WhatsApp no yanguKuna kingine kipo karibia na kidibwi ,milioni 500 , squire meter 2000.
Sawa bossNaomba picha zake kwenye hiyo WhatsApp no yangu
Poa mkuuSawa boss
Sema alinunua mkuuBei yeye usikute alitapeli au alinunua million 12 ama kweli ardhi ni thamani
Kweli kabisa mkuu ila hapa Dar pamegawanyika kuna maeneo yaliyopimwa na mengine hayajapimwa kwahiyo ni vizuri kununua nyumba au kiwanja maeneo yaliyopimwa kama hela tu inaruhusuDar es salaam properties kama plot na Nyumba kiukweli zipo over price naweza kusema mara nyingi bei hazina uhalisia kabisa kutokana na uchumi halisi mfano unanunua NYUMBA MILLION 500 inapo kuja mvua inakuwa kero kutokana na miundo mbinu hapo hapo hiyo nyumba ya MILLION 500 mita chache au kilometres moja au mbili unakutana na nyumba za squatter ukweli ni shida sn hasa DAR linapo kuja swala la makazi standard.
Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Pamoja sana mkuuAhsante Kwa taarifa...
Kweli kabisa mkuu
Hiki kinauzwa Tsh 120mToa bei
Unajibu vizuri sana, all the bestKweli kabisa mkuu ila hapa dar pamegawanyika kuna maeneo yaliyopimwa na mengine hayajapimwa kwahyo ni vzr kununua nyumba au kiwanja maeneo yaliyopimwa kama hela tu inaruhusu
Asante sana mkuu.unajibu vizuri sana, all the best