Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Hahaa atakuwa dalaliNmeona Shilole nae kaipost cjajua nae ni dalali au mwenye nyumba
Lete mteja acha maneno mengi ndgYa shilole hii
Unabisha sasa si ya Shilole iyo lakiniLete mteja acha maneno mengi ndg
Lete mteja acha maneno mengi ndgUnabisha sasa si ya Shilole iyo lakini
Hahaa hapana mkuu hii ni mali binafs kabisa na haina ugomvi na mtuUnauza mali ya Tanzania port authority eeh?
Sema kiwanja chaka kikubwa 900 sqm mkuu karibu uikague. Na pia ukija kuona hii utapata na fulsa ya kuangalia nyingineImebanana
Karibu mkuu nyumba hii ni mpya na haijawahi kuchezewa mechi yoyote hata ya majaribioHiyo nyumba ni mpya kweli au ni maneno ya biashara.
Maana mm natafuta nyumba mpya ambayo haijawahi kuchezewa mechi ya aina yeyote ile.
Poa sana mkuuAhsante kwa taarifa...
Acha kuwa king'ang'anizi kwan huyo mleta Tangazo hawezi kuwa Labda yeye ndo Shishi mwenyweUnabisha sasa si ya Shilole iyo lakini
[emoji769] Hahahaha mjini fujoAcha kuwa king'ang'anizi kwan huyo mleta Tangazo hawezi kuwa Labda yeye ndo Shishi mwenywe