dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
- #321
Tumepunguza bei kwa mteja serious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyumba vina ukubwa gani?Nyumba ina vyumba 4 na vyote ni self,public toilet, sting room,dining room, kitchen,stool nk
Size plot 1200 SQM
Documents..Title did miaka 99
Bado finishing
Bei 85m
Maongezi zaidi 0756060183View attachment 1520754View attachment 1520756View attachment 1520757View attachment 1520758
Sawa mkuu ila usisahau na bei ya kiwanja maeneo hayo si chininya 60mHiyo nyumba ilipofika na uwanja wake bei ni overstated sana. Finishing ya hiyo nyumba bado kabisa.
Vyumba vikubwa sana fiti 12 kwa 12Vyumba vina ukubwa gani?
Hapana mkuu niliona kwangu picha ya hivyo ndio nzr ila kama vip nichk WhatsApp nikutumie na video kabisa.. hapa nimejaribu kuiweka sijafanikishaPicha umepiga kwa mbali unaigopa nyumba ama?
Hahahhahaha hizi shule hizi mmmmhNi Negotiable sio negotiated au mimi ndo sijui.........kama ingekuwa negotiated maana yake kishauzwa...
Au niko chaka mkuu....
Kwa mujibu wa elimu yangu uko sahihi kabisa mkuu tembea kifua mbereeeAu niko chaka mkuu....
NIlitaka nishangae, tenses na grammar zinawachanganya wengi hadi wasomi wa vyuo vikuukwa mujibu wa elimu yangu uko sahihi kabisa mkuu tembea kifua mbereee
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Mkuu basi nunua kiwanja mwenzio apate pesa.NIlitaka nishangae....tenses na grammar zinawachanganya wengi hadi wasomi wa vyuo vikuu