Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapa mkuu iko bunju inatakiwa 60mBei reasonable sana
Kwa bei yake ni ngumu kuuza kwa ukanda ule labda wampate mtu mgeni ambaye hajui historia ya maeneo hayo.Huko boko kunajulikana kwa kujaa maji....Ungetudokeza kidogo ishu ya kujaa maji kipindi cha masika ingekua poa...
Hapana mkuu hamnashida ya maji kabisa na c boko yote inashida ya maji.we njoo uone nyumba na utaona tu mazingira yenyewe yalivyoHuko boko kunajulikana kwa kujaa maji....Ungetudokeza kidogo ishu ya kujaa maji kipindi cha masika ingekua poa...
Hahaa duh umepolomoka sana mkuuChukua 4m
Mkuu ni kilomita ngapi kutoka hapo dege hadi ferry??Kiwanja bado kipo wadau.hivi unajua kigamboni ni karibu na mjini na hapo baadae kigamboni utakuwa mji wa kisasa ! Wahi mapema tukuuzie Kiwanja kwa bei nafuu kabisa
Eebwana eeh kusema kweli sijawahi kupima km ila hebu ngoja nichk nitakujulisha leo leoMkuu ni kilomita ngapi kutoka hapo dege hadi ferry??
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Pamoja sana mkuu
Karibu sana mkuu
Ni kweli kabisa mkuu sema ndio ivyo kila mtu na choice yakeHizi ndinga nzuri zikiwa manual. Hata ulaji wa mafuta sio mbaya. Ila hii auto......
Mkuu kutoka feli hadi kwenye kiwanja ni 14kmMkuu ni kilomita ngapi kutoka hapo dege hadi ferry??
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Aisee kumbe ni kipande sema labda kwavile kule hamna foleni....Mkuu kutoka feli hadi kwenye kiwanja ni 14km