Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

Eti mheshimiwa; 'ntumba' maana yake nini!! Achilia mbali hayo maneno mengine mfano 'tayri' vzr, nk.

Maana unamtaka mtoa mada akajifunze kuandika, huku na wewe ulichokiandika kikiwa hakieleweki!
Shukrani Tate Mkuu kwa maelezo mujaarabu.
Tatizo letu humu ujuaji mwingi ndio shida.
 
Aina majini mkuu? Kwann unaiuza?
 
Kwamba yeye ndio wa kwanza kuuza nyumba?

Kama anazo tatu na ana madeni ni kwa nini asiuze? Unaweza kuwahoji swali hili watu wa real estate?
Shukrani sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
 
Kwamba yeye ndio wa kwanza kuuza nyumba?

Kama anazo tatu na ana madeni ni kwa nini asiuze? Unaweza kuwahoji swali hili watu wa real estate?
Mkuu, umejibu kwa jazba tu kiasi umesababisha asinijibu. Hujawahi ona mtu anauza nyumba ya familia then baadae inaleta migogoro? Hujawahi sikia aliyeuziwa nyumba yenye mauza uza kiasi kwamba wakashindwa kukaa?

Sababu za kuuza nyumba ziko nyingi mkuu, sio madeni peke yake.
 
Hii nyumba ukiipiga make up itapendeza sana.
Kwanza unaongeza course moja ya matofali ndiyo unapaua na bati la Msouth. Unaweka Aluminium windows na finishing nje.
Fence nzuriii maisha yameisha ni mwendo wa kula tyuuu pumzi.
 
Toa sababu tano kwanini hiyo nyumba unaiuza ....


Kama ni ya urithi unauza mgawane ...

Kama ina migogoro ya kifamilia ili tujue ili tusije kutana na misukule na kukabwa usiku humo ndani ....

Nyumba nying used Mimi nazijua ,kama ina migogoro ya kifamilia humo ndani hapatakalika utaona kila aina ya rangi ...


Mjomba alinunuaga nyumba kama hivo aisee kwake hapakaliki kashaenda kwa mganga Sana anaambiwa hapo dawa yake ni kuhama ....usiku mara unasikia mtu anapika na kutosha vyombo ukiamuka kuaangalia huoni kitu ..usiku kishindo kikubwa chini ....mara anaota ndoto za ajabu ....kukabwa usiku ..mara kwenye korido anasikika mtu anatembea ,kwenye mlango wa kitasa unasikia kabisa mtu anaingiza ufunguo anafungua mlango wakati nyote mmelala yaani full mauzauza ...

Yote haya yanatokea ikishafika usiku

Yaani ni shidaaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nyumba sio ya
√ familia
√urithi
√ si ya wana ndoa (mke na mume)
√ haina mgogoro (mmiliki ni kijana tu)
NB.
Sababu za kuuza ni kuwa ana mji mwingine Chanika na pia alikua na mipango yake binafsi (ya kibiashara)
Kuhusu ishu ya mauza uza hiyo ni imani yako tu.
Ukifika utapata maelezo kwa undani zaidi
 
Habari wana jukwaa,

Nyumba ya kupanga ipo Kitunda shule

Ni gari moja kutoka mjini (mmnazi mmoja, Machinga Complex, Kivukoni, Posta)

Sifa zake:
  • Nyumba ni apartments inayojitegemea.
  • Ina chumba kimoja ambacho ni self-contained, jiko, sebule na public
  • Maji na umeme unajitegemea
  • Ipo ndani ya fensi
  • Kutoka stand ni mwendo wa dakika 5-8
  • Kodi ni 130k
MAWASILIANO: 0785 857564

 
Duh mkuu kumbe wew upo jilan kabisa na wakwe zang
 
Sawa
Tangu Mwaka Jana Inatangazwa Bado Mteja Tu Kupatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…