SAIT TANZANIA
Member
- Feb 20, 2018
- 18
- 64
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anauza jackpot bossAliyeelewa kinachouzwa ufafanuzi tafadhali.
Na bodi ya michezo ya kubahatisha, wanataka kodi yao!!Akishalinunua kibali atapata wapi? Au ndo alipeleke Kijijini huko pasipo na wachina
Sio zinauzwa kama bidhaa nyingineDubwi ni Mali ya mchina wewe unakodishwa tu
Spea zipo ikiharibikaSpea zake zipo au inakuwa scraper likiharibika
Sasa yule mchina anaepita kwenye madubwi kuchukua Pesa zake ni nani?Sio zinauzwa kama bidhaa nyingine
Vibari unatafuta mwenyewe ila unaweza kufanya kazi kama ss tunavo FanyaLinavibali?
Hapana from chinaAssembling imefanyika bongo hapa hapa au mmewapora
Inaomuesha ujui chochote tulia ujifunze kidogoMusinunue.
Hiyo ni biashara kichaa, Wachina ndio wanayaweza, wanajipangia % za ushindi huku bodi ya Bahati nasibu wakiwafunga mdomo kwa rushwa.
Nyie wabongo yatawaliza bure.