Tunauza slot machine (dubwi)

Tunauza slot machine (dubwi)

Attachments

  • Alibaba809173379.png
    Alibaba809173379.png
    209.9 KB · Views: 7
  • 1709713912296.png
    1709713912296.png
    319.1 KB · Views: 7
Inaomuesha ujui chochote tulia ujifunze
Acha kuwafanya Watanzania wajinga.
Nayajua vizuri, hayo yanakuwa na percent maalumu za mchezaji na mchezeshaji.
Wachina wanavuna billions of Tanzanian shillings kwa ujanja wao ambao wabongo hawauwezi.
Nawajua wabongo walionunua hayo wakaambulia hasara tupu.
Mchina kanieleza uhuni wote wanaoufanya.
Kama yanalipa basi yasambaze mwenyewe kwenye ma bar na ma center makubwa upate mabilioni
 
Acha kuwafanya Watanzania wajinga.
Nayajua vizuri, hayo yanakuwa na percent maalumu za mchezaji na mchezeshaji.
Wachina wanavuna billions of Tanzanian shillings kwa ujanja wao ambao wabongo hawauwezi.
Nawajua wabongo walionunua hayo wakaambulia hasara tupu.
Mchina kanieleza uhuni wote wanaoufanya.
Kama yanalipa basi yasambaze mwenyewe kwenye ma bar na ma center makubwa upate mabilioni
Kwahiyo unataka biashara hii wafanye wachina ss tumeshindwa wachina washatupa shule waje na kitu kingine wao ndo tutawakimbiza warudi china waje na uwekezaji mwingine au umesahau kuwa ss ndo wenye nyumba
 
Mkuu kimsingi wewe ni muizi...ili upate kibali Cha kuingiza tu kwanza hio mashine ni gaming board ndio hutoa...au utumie leseni ya watu wengine principal licence..ukiiweka mtaani bila kuwa na stika ya gaming board ni unafanya uhujumu ...wewe umeitoa wapi hio mashine sababu zipo zinazoibiwa za wachina halafu Zinasambazwa
 
Kwahiyo unataka biashara hii wafanye wachina ss tumeshindwa wachina washatupa shule waje na kitu kingine wao ndo tutawakimbiza warudi china waje na uwekezaji mwingine au umesahau kuwa ss ndo wenye nyumba
Hii sio biashara ni utapeli.
Haijengi uchumi wa nchi bali inaharibu.
Inaharibu akili za vijana, watoto na wamama uswahilini.
Ni biashara haramu kuliko bangi ila Wachina kwakuwa wanatoa pesa basi wanaendelea ku survive
 
Hii sio biashara ni utapeli.
Haijengi uchumi wa nchi bali inaharibu.
Inaharibu akili za vijana, watoto na wamama uswahilini.
Ni biashara haramu kuliko bangi ila Wachina kwakuwa wanatoa pesa basi wanaendelea ku survive
Mitandao ya kimafia ilifanya kazi kubwa sana hadi kamari ikahalalishwa.

Walitumia muda mwingi, pesa nyingi na watu wengi waliuawa.
 
Mitandao ya kimafia ilifanya kazi kubwa sana hadi kamari ikahalalishwa.

Walitumia muda mwingi, pesa nyingi na watu wengi waliuawa.
Hii biashara ya kamari ndio biashara rahisi na ya faida kuliko zote.
Imagine Bakhressa alime miwa, avune, achakate , apate sukari, afanye packing asambaze ndo apate pesa. Kamari unajizolea mabilioni ya bure kila siku kirahisi kabisa
 
Wabongo watu waajabu sana,ishu nyingine bora upige kimya kimya kweli.

Kipindi cha nyuma walikuwa wanalalamika wachina ndo wenye uwezo pekee wa kuimport hizo machine,now wameletewa wanauliza umetoa wapi.

wabongo wengi ni wapuuzi sana.
 
Wabongo watu waajabu sana,ishu nyingine bora upige kimya kimya kweli.

Kipindi cha nyuma walikuwa wanalalamika wachina ndo wenye uwezo pekee wa kuimport hizo machine,now wameletewa wanauliza umetoa wapi.

wabongo wengi ni wapuuzi sana.
Hakuna upuuzi wowote hayo matakataka yapo kuhujumu zaidi ukiona unafaidika jua Kuna watu wameumia,wamepoteza...ndoa ,imevunjika ,,mitaji wamekula..

Hizo mashine ni shetani kabisa
 
Back
Top Bottom