Suti za kiume(mikoani)
Suti plain 130,000/=
Suti za fashion 160,000/=
Suti za kike 120,000/=
Suti za kiume (Dar)
140,000/=
Suti za kike(100,000/=)
Karibuni[emoji1753]
Hiyo suti yenye hicho kinembo cha bendera ya Taifa bei gani? Nataka nishone kama tano hivi za rangi tofauti kwa ajili ya maandalizi ya KUTIA NIA mahali fulani.KWA mwanza na mikoani tunatuma mzigo kutoka Dar.
Au unasubiri uteuziHiyo suti yenye hicho kinembo cha bendera ya Taifa bei gani? Nataka nishone kama tano hivi za rangi tofauti kwa ajili ya maandalizi ya KUTIA NIA mahali fulani.
Kwahio za Dar zina tofauti na za MkoaniSuti za kiume(mikoani)
Suti plain 130,000/=
Suti za fashion 160,000/=
Suti za kike 120,000/=
Suti za kiume (Dar)
140,000/=
Suti za kike(100,000/=)
Karibuniπ€πΎ
Hiyo package inakua na suruali, koti na brazier (kizibao)?Suti za kiume (fashion)-140,000/=
Plain-110,000/=
Ukiwa Dar es salaam
Babe unaenda ukweni wapi huko suti 5πHiyo suti yenye hicho kinembo cha bendera ya Taifa bei gani? Nataka nishone kama tano hivi za rangi tofauti kwa ajili ya maandalizi ya KUTIA NIA mahali fulani.
πππ Babe nataka kutia nia ya ubunge huku Lushoto! Wasambaa wananikubali kweli kweli. Sasa nataka niwe nazo hata hizo tano tu ili wakina Shangazi wakirudi kusalimia wapiga kura wasinitambishie.Babe unaenda ukweni wapi huko suti 5π
Kila rakheri babe Mtemi ππ ila habari ya wajumbe unaifahamu vizuri kuhusu kukata? Usijiamini sanaππππ Babe nataka kutia nia ya ubunge huku Lushoto! Wasambaa wananikubali kweli kweli. Sasa nataka niwe nazo hata hizo tano tu ili wakina Shangazi wakirudi kusalimia wapiga kura wasinitambishie.
Na mimi wameshanisimika tayari kuwa Mtemi wa Wasambaa wote duniani!
πππ Ngoja nimuulize huyu mentor wangu Pascal Mayalla anipe mbinu za kuwazidi maarifa hao WAJUMBE!! Maana nasikia ni noma kweli kweli!Kila rakheri babe Mtemi ππ ila habari ya wajumbe unaifahamu vizuri kuhusu kukata? Usijiamini sanaπ
π watakwambia umepita bila kupingwa ila siku ya kuhesabu kura hata yako itakosekanaππππ Ngoja nimuulize huyu mentor wangu Pascal Mayalla anipe mbinu za kuwazidi maarifa hao WAJUMBE!! Maana nasikia ni noma kweli kweli!
Wanakupa matumaini na kukujaza upepo kweli kweli, halafu wakati wa kutangazwa matokeo unaambiwa umepata kura moja tu!!! π