INAUZWA Tunauza suti kwa bei nafuu kabisa

INAUZWA Tunauza suti kwa bei nafuu kabisa

😁😁😁 Ngoja nimuulize huyu mentor wangu Pascal Mayalla anipe mbinu za kuwazidi maarifa hao WAJUMBE!! Maana nasikia ni noma kweli kweli!

Wanakupa matumaini na kukujaza upepo kweli kweli, halafu wakati wa kutangazwa matokeo unaambiwa umepata kura moja tu!!! 🙄
Mkuu Tate Mkuu, yaani wajumbe...!. Wee acha tuu!.
Jimbo la Kawe lina kata 10.
1. Unapaswa kujitambulisha kwa wajumbe kila kata. Kwenye utambulisho huo unagharimia 'maji ya kunywa', na baada ya utambulisho unawarejeshea wajumbe nauli wanaotumia kuja, nauli ya kurejea na nauli ya kuja kwenye kikao.
2. Wakati ukisubiri kura zao, unatumiwa sms, mwenzako kapita na kutoa nauli kubwa, hivyo kama hutaongeza kiwango cha nauli unaweza ukakosa kura. Hivyo unanyoosha mkono.
3. Tangu hapo ni kila siku kuna mjumbe kafiwa, anauguliwa, ana majanga, ada, kodi, mtaji, etc.
5. Siku ya kura, pale ukumbini kila mjumbe anakuhakikishia ni wewe tuu!, kura zote kwako, ila ongeza japo chochote kitu, maana wenzako wanamwaga mihela!.
Na baada ya matokeo, unapata kura moko!. Kila mjumbe ulio 'muona', anakujia na kukupa pole na kukuambia ile kura moja ni kura yake!.

Wajumbe..., waache tuu, Mungu anawaona!.
P
 
Mkuu Tate Mkuu, yaani wajumbe...!. Wee acha tuu!.
Jimbo la Kawe lina kata 10.
1. Unapaswa kujitambulisha kwa wajumbe kila kata. Kwenye utambulisho huo unagharimia 'maji ya kunywa', na baada ya utambulisho unawarejeshea wajumbe nauli wanaotumia kuja, nauli ya kurejea na nauli ya kuja kwenye kikao.
2. Wakati ukisubiri kura zao, unatumiwa sms, mwenzako kapita na kutoa nauli kubwa, hivyo kama hutaongeza kiwango cha nauli unaweza ukakosa kura. Hivyo unanyoosha mkono.
3. Tangu hapo ni kila siku kuna mjumbe kafiwa, anauguliwa, ana majanga, ada, kodi, mtaji, etc.
5. Siku ya kura, pale ukumbini kila mjumbe anakuhakikishia ni wewe tuu!, kura zote kwako, ila ongeza japo chochote kitu, maana wenzako wanamwaga mihela!.
Na baada ya matokeo, unapata kura moko!. Kila mjumbe ulio 'muona', anakujia na kukupa pole na kukuambia ile kura moja ni kura yake!.

Wajumbe..., waache tuu, Mungu anawaona!.
P

Ile kura 1 ni yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole ni nyingi kama za Hashim Rungwe au uliibiwa?
usikate tamaa next election nenda tena brother [emoji122][emoji122]
 
jipatie Suti kali za kiume kwa bei poa kabisa.
Plain suit- 140,000/=
Fashion suit- 170,000/=
Kaunda/Safar suit- 120,000/=

Kwa wateja wa Dar es salaam tunafanya free delivery na mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.

Kwa mawasiliano zaidi;
Whatsapp: +255712878245
Call: +255743230690

View attachment 1931232

View attachment 1931233

View attachment 1931234

View attachment 1931235

View attachment 1931236

View attachment 1931243

View attachment 1931244

View attachment 1931245

View attachment 1931246

View attachment 1931247
We Jamaa una ka ufala flan hivi,
Mida hii niko kariakoo nimefuata suti nakupigia lisaa lizima sasa hupokei. Kama huwezi Biashara si bora ufunge tu ufanye issues zingine?
 
Back
Top Bottom