Tunauza vifaranga vya kuku wa Mayai (Layers)

Tunauza vifaranga vya kuku wa Mayai (Layers)

Vipi kwa kuanza na vifaranga 500 niandae shilingi ngapi kwa makadirio ,pamoja na gharama za msosi na dawa?
Kwa bei ya vifaranga kwa huyo mwamba ukiwa na million 2 na nusu itakusukuma mpka miezi mitatu kama unalo banda zuri mkuu.
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Kwa bei ya vifaranga kwa huyo mwamba ukiwa na million 2 na nusu itakusukuma mpka miezi mitatu kama unalo banda zuri mkuu.
1500*500=750000
Chakula mwez wa kwanza 79500(broiler starter crumble)x4=318000
Mwez wa pili mchanganyo wa laki 4
Mwez wa tatu mchanganyo wa laki 4
Mwezi wa nne mchanganyo wa laki 4
Antibiotics +chanjo + maji+usafili kwa muda wote miez minne max laki3....sure kwa 2.5m anatoboa
Japo io price yke ni ndogo kuliko hta bei ya chotara na kwa nature ya market now kama ni mtu wa uhakika ...kama ana office na unaweza kwenda kuchukua physically hii ni opportunity nzuri ...kwa kawaida binafsi huwa nanunua vifaranga ao kwa 2500 kwa kifaranga na muda wa kusubiri ni mrefu (wa silverlands) kama wakati huu hawna product had october
 
Habari wana jamvi, natumai mko salama kabisa. Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Vifaranga wanahitaji uangalizi mkubwa sana hasa katika hatua za mwanzo za ukuaji wao, na moja ya njia zinazoweza kuhakikisha usalama wa maisha yao kwanza wao kwa wao (yaani vifaranga) na usalama wa mayai hapo baadaye ni kwa kuwakata midomo.

Zoezi hili hufanyika pia kwa lengo la kusaidia kuzuia upotevu wa chakula kutokana namna vifaranga wanavyodonoa donoa chakula wakati wa kula. Mara nyingi huwa wanakitawanya chakula vibaya kutokana na urefu wa midomo yao. Hivyo wanapofikisha umri wa siku 7-10 zoezi hili la kuwapunguza midomo hufanyika kisha kurudiwa tena wanapokuwa na umri wa kati ya wiki 8 hadi 10.

Vifaa maalum hutumika kukamilisha zoezi hili, na kwa anayefuga kitaalam ni vema zoezi hili likafanywa na mtaalam kwa kuwa linahitaji umakini wa hali ya juu ili vifaranga wasidhurike macho wala ulimi.

Mtaalam atachunguza kwanza makali na joto la wembe wa kifaa cha kukatia midomo kabla ya kuanza zoezi. Kisha ataanza kukata mdomo mmoja baada ya mwingine yaani wa juu kisha wa chini ama vinginevyo.

Jukumu kwa mfugaji ni kuhakikisha kuwa joto la mazingira sio kali sana, vifaranga wana afya njema na wamepatiwa vitamini kabla ya kuanza zoezi la ukataji midomo na mara baada ya zoezi kukamilika hakikisha kuku wanapatiwa chakula cha kutosha na maji yenye vitamin wakati wote kwa muda wa wiki nzima.

Bovans Brown ni kuku bora kabisa wa mayai na wanaotaga kwa miezi 12 kabla ya kuacha ama kupunguza utagaji.

Karibu sana ujipatie kuku layers bora kabisa wa mayai. Vifaranga Vya Kuku Wa Mayai (Layers) Bovan Brown/Kuku Wa Mayai.

Kifaranga wa siku 1.

SIFA ZA HAWA KUKU (BOVANS BROWN)
✓Wanakuwa vizuri sana
✓Wanataga wakishafika miezi 5 toka akiwa kifaranga.
✓Wanastahimili magonjwa.
✓Utagaji wao asilimia 95
✓Wanataga mayai 250-300 kwa mwaka.
✓Wanakaa miaka 2 ukiwatunza vizuri.

BEI YAKE NI 1,500TZS TU UNAPATA KITU KILICHO BORA.

Call/WhatsApp: +255 679 003 511.

View attachment 3029774
View attachment 3029775
Ila mnawatesa sana kuwafungia humo
 
1500*500=750000
Chakula mwez wa kwanza 79500(broiler starter crumble)x4=318000
Mwez wa pili mchanganyo wa laki 4
Mwez wa tatu mchanganyo wa laki 4
Mwezi wa nne mchanganyo wa laki 4
Antibiotics +chanjo + maji+usafili kwa muda wote miez minne max laki3....sure kwa 2.5m anatoboa
Japo io price yke ni ndogo kuliko hta bei ya chotara na kwa nature ya market now kama ni mtu wa uhakika ...kama ana office na unaweza kwenda kuchukua physically hii ni opportunity nzuri ...kwa kawaida binafsi huwa nanunua vifaranga ao kwa 2500 kwa kifaranga na muda wa kusubiri ni mrefu (wa silverlands) kama wakati huu hawna product had october
Mchanganuo mzuri sana mkuu🙏
 
1500*500=750000
Chakula mwez wa kwanza 79500(broiler starter crumble)x4=318000
Mwez wa pili mchanganyo wa laki 4
Mwez wa tatu mchanganyo wa laki 4
Mwezi wa nne mchanganyo wa laki 4
Antibiotics +chanjo + maji+usafili kwa muda wote miez minne max laki3....sure kwa 2.5m anatoboa
Japo io price yke ni ndogo kuliko hta bei ya chotara na kwa nature ya market now kama ni mtu wa uhakika ...kama ana office na unaweza kwenda kuchukua physically hii ni opportunity nzuri ...kwa kawaida binafsi huwa nanunua vifaranga ao kwa 2500 kwa kifaranga na muda wa kusubiri ni mrefu (wa silverlands) kama wakati huu hawna product had october
Hiki ndio nilikuwa nataka na mimi jamaa wameniambia kwa sasa vifaranga haba na vinasimama kwa 3000/= kimoja .Ngoja niendelee kuchakata na kuongeza ongeza pesa.
 
Hiyo ni kampuni gani inauza kifaranga kwa 3000?
Hiki ndio nilikuwa nataka na mimi jamaa wameniambia kwa sasa vifaranga haba na vinasimama kwa 3000/= kimoja .Ngoja niendelee kuchakata na kuongeza ongeza pesa.
 
1500*500=750000
Chakula mwez wa kwanza 79500(broiler starter crumble)x4=318000
Mwez wa pili mchanganyo wa laki 4
Mwez wa tatu mchanganyo wa laki 4
Mwezi wa nne mchanganyo wa laki 4
Antibiotics +chanjo + maji+usafili kwa muda wote miez minne max laki3....sure kwa 2.5m anatoboa
Japo io price yke ni ndogo kuliko hta bei ya chotara na kwa nature ya market now kama ni mtu wa uhakika ...kama ana office na unaweza kwenda kuchukua physically hii ni opportunity nzuri ...kwa kawaida binafsi huwa nanunua vifaranga ao kwa 2500 kwa kifaranga na muda wa kusubiri ni mrefu (wa silverlands) kama wakati huu hawna product had october
Bro sio kweli kuku 500 wa miezi 3 wale laki 4 tu!! Nimefuga na ninafuga. Kuku 500 hadi kutaga isipungue mil 6
 
Bro sio kweli kuku 500 wa miezi 3 wale laki 4 tu!! Nimefuga na ninafuga. Kuku 500 hadi kutaga isipungue mil 6
Wanakula tsh ngp kwa mwez mkuu,,,na unawalisha gram ngp per day wakiwa na miez mi3....tubadirishane ujuz nimeestimate cause chotara 200wa umri huo binafs huwa natumia lak 2 per month
 
Mkuu nina mpango wa kufanya huo mradi, naomba unifahamishe yafuatayo. Kwa sasa ni kampuni gani nzuri inatoa vifaranga wazuri hasa hawa wa mayai (layers), kifaranga kimoja ni bei gani kwenye hiyo kampuni. Umedai kwa vifaranga 500 mfuko wa shati iwepo 6M ni sawa, je kwa hao vifaranga wakianza kutanga hutoa trei ngapi kwa siku na wanadamu kwa wastani huo kwa muda gani?
Bro sio kweli kuku 500 wa miezi 3 wale laki 4 tu!! Nimefuga na ninafuga. Kuku 500 hadi kutaga isipungue mil 6
 
Mkuu nina mpango wa kufanya huo mradi, naomba unifahamishe yafuatayo. Kwa sasa ni kampuni gani nzuri inatoa vifaranga wazuri hasa hawa wa mayai (layers), kifaranga kimoja ni bei gani kwenye hiyo kampuni. Umedai kwa vifaranga 500 mfuko wa shati iwepo 6M ni sawa, je kwa hao vifaranga wakianza kutanga hutoa trei ngapi kwa siku na wanadamu kwa wastani huo kwa muda gani?
Kampuni ni nyingi lakini Silverland ndio baba lao. Kuku 500 tray 1 1per day ni uhaiika
 
Fanya majaribio kwanza huanze na kuku 100 biashara ya kuku wa mayai, inategemea mkono wa mtu na bahati sio kingine.
Usipende kujaribu best🥳 Fanya kweli👏
Watafiti walishagundua kuku na biashara yake kiujumla inalipa sana,,
Changamoto ni utekelezwaji,,
Kuku bei ni ya kawaida sana ila matunzo from housing structures(Mabanda yanayohitajika yakidhi vigezo), vaccination (chanjo) and Feed Ration Formulation(Mchanganyiko Bora wa chakula kulingana na umri...

Pitia mwongozo wa hicho kitabu 🚂🚂🚂
 

Attachments

Kuku 500 kutoa trei 11 kwa siku bado ni kidogo na ni hasara kwa mfugaji, kuku 500 inapaswa angalau watoe trei 14 mpaka 15 kwa siku.
Kampuni ni nyingi lakini Silverland ndio baba lao. Kuku 500 tray 1 1per day ni uhaiika
 
Umesema ukweli, sekta ya kilimo na ufugaji ni sekta zinazo lipa sana. Endapo ufugaji utazingatia elimu husika, mtaji na muda hakika ni mradi mzuri sana.
Usipende kujaribu best[emoji3060] Fanya kweli[emoji122]
Watafiti walishagundua kuku na biashara yake kiujumla inalipa sana,,
Changamoto ni utekelezwaji,,
Kuku bei ni ya kawaida sana ila matunzo from housing structures(Mabanda yanayohitajika yakidhi vigezo), vaccination (chanjo) and Feed Ration Formulation(Mchanganyiko Bora wa chakula kulingana na umri...

Pitia mwongozo wa hicho kitabu [emoji577][emoji577][emoji577]
 
Back
Top Bottom