Kwa bei ya vifaranga kwa huyo mwamba ukiwa na million 2 na nusu itakusukuma mpka miezi mitatu kama unalo banda zuri mkuu.Vipi kwa kuanza na vifaranga 500 niandae shilingi ngapi kwa makadirio ,pamoja na gharama za msosi na dawa?
1500*500=750000Kwa bei ya vifaranga kwa huyo mwamba ukiwa na million 2 na nusu itakusukuma mpka miezi mitatu kama unalo banda zuri mkuu.
Ila mnawatesa sana kuwafungia humoHabari wana jamvi, natumai mko salama kabisa. Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Vifaranga wanahitaji uangalizi mkubwa sana hasa katika hatua za mwanzo za ukuaji wao, na moja ya njia zinazoweza kuhakikisha usalama wa maisha yao kwanza wao kwa wao (yaani vifaranga) na usalama wa mayai hapo baadaye ni kwa kuwakata midomo.
Zoezi hili hufanyika pia kwa lengo la kusaidia kuzuia upotevu wa chakula kutokana namna vifaranga wanavyodonoa donoa chakula wakati wa kula. Mara nyingi huwa wanakitawanya chakula vibaya kutokana na urefu wa midomo yao. Hivyo wanapofikisha umri wa siku 7-10 zoezi hili la kuwapunguza midomo hufanyika kisha kurudiwa tena wanapokuwa na umri wa kati ya wiki 8 hadi 10.
Vifaa maalum hutumika kukamilisha zoezi hili, na kwa anayefuga kitaalam ni vema zoezi hili likafanywa na mtaalam kwa kuwa linahitaji umakini wa hali ya juu ili vifaranga wasidhurike macho wala ulimi.
Mtaalam atachunguza kwanza makali na joto la wembe wa kifaa cha kukatia midomo kabla ya kuanza zoezi. Kisha ataanza kukata mdomo mmoja baada ya mwingine yaani wa juu kisha wa chini ama vinginevyo.
Jukumu kwa mfugaji ni kuhakikisha kuwa joto la mazingira sio kali sana, vifaranga wana afya njema na wamepatiwa vitamini kabla ya kuanza zoezi la ukataji midomo na mara baada ya zoezi kukamilika hakikisha kuku wanapatiwa chakula cha kutosha na maji yenye vitamin wakati wote kwa muda wa wiki nzima.
Bovans Brown ni kuku bora kabisa wa mayai na wanaotaga kwa miezi 12 kabla ya kuacha ama kupunguza utagaji.
Karibu sana ujipatie kuku layers bora kabisa wa mayai. Vifaranga Vya Kuku Wa Mayai (Layers) Bovan Brown/Kuku Wa Mayai.
Kifaranga wa siku 1.
SIFA ZA HAWA KUKU (BOVANS BROWN)
✓Wanakuwa vizuri sana
✓Wanataga wakishafika miezi 5 toka akiwa kifaranga.
✓Wanastahimili magonjwa.
✓Utagaji wao asilimia 95
✓Wanataga mayai 250-300 kwa mwaka.
✓Wanakaa miaka 2 ukiwatunza vizuri.
BEI YAKE NI 1,500TZS TU UNAPATA KITU KILICHO BORA.
Call/WhatsApp: +255 679 003 511.
View attachment 3029774
View attachment 3029775
Kuwafungia wapi mkuu ?Ila mnawatesa sana kuwafungia humo
Mchanganuo mzuri sana mkuu🙏1500*500=750000
Chakula mwez wa kwanza 79500(broiler starter crumble)x4=318000
Mwez wa pili mchanganyo wa laki 4
Mwez wa tatu mchanganyo wa laki 4
Mwezi wa nne mchanganyo wa laki 4
Antibiotics +chanjo + maji+usafili kwa muda wote miez minne max laki3....sure kwa 2.5m anatoboa
Japo io price yke ni ndogo kuliko hta bei ya chotara na kwa nature ya market now kama ni mtu wa uhakika ...kama ana office na unaweza kwenda kuchukua physically hii ni opportunity nzuri ...kwa kawaida binafsi huwa nanunua vifaranga ao kwa 2500 kwa kifaranga na muda wa kusubiri ni mrefu (wa silverlands) kama wakati huu hawna product had october
Vifaranga 500 andaa 4.5-5m mpaka watakapianza kutaga wakiwa na wiki 18 hadi 20Vipi kwa kuanza na vifaranga 500 niandae shilingi ngapi kwa makadirio ,pamoja na gharama za msosi na dawa?
Hiki ndio nilikuwa nataka na mimi jamaa wameniambia kwa sasa vifaranga haba na vinasimama kwa 3000/= kimoja .Ngoja niendelee kuchakata na kuongeza ongeza pesa.1500*500=750000
Chakula mwez wa kwanza 79500(broiler starter crumble)x4=318000
Mwez wa pili mchanganyo wa laki 4
Mwez wa tatu mchanganyo wa laki 4
Mwezi wa nne mchanganyo wa laki 4
Antibiotics +chanjo + maji+usafili kwa muda wote miez minne max laki3....sure kwa 2.5m anatoboa
Japo io price yke ni ndogo kuliko hta bei ya chotara na kwa nature ya market now kama ni mtu wa uhakika ...kama ana office na unaweza kwenda kuchukua physically hii ni opportunity nzuri ...kwa kawaida binafsi huwa nanunua vifaranga ao kwa 2500 kwa kifaranga na muda wa kusubiri ni mrefu (wa silverlands) kama wakati huu hawna product had october
Hiki ndio nilikuwa nataka na mimi jamaa wameniambia kwa sasa vifaranga haba na vinasimama kwa 3000/= kimoja .Ngoja niendelee kuchakata na kuongeza ongeza pesa.
Bro sio kweli kuku 500 wa miezi 3 wale laki 4 tu!! Nimefuga na ninafuga. Kuku 500 hadi kutaga isipungue mil 61500*500=750000
Chakula mwez wa kwanza 79500(broiler starter crumble)x4=318000
Mwez wa pili mchanganyo wa laki 4
Mwez wa tatu mchanganyo wa laki 4
Mwezi wa nne mchanganyo wa laki 4
Antibiotics +chanjo + maji+usafili kwa muda wote miez minne max laki3....sure kwa 2.5m anatoboa
Japo io price yke ni ndogo kuliko hta bei ya chotara na kwa nature ya market now kama ni mtu wa uhakika ...kama ana office na unaweza kwenda kuchukua physically hii ni opportunity nzuri ...kwa kawaida binafsi huwa nanunua vifaranga ao kwa 2500 kwa kifaranga na muda wa kusubiri ni mrefu (wa silverlands) kama wakati huu hawna product had october
Mjomba wiki nne si washakuwa kabisaMkuu tunahitaji vifaranga kama 5000 ila tunachukua vya wiki nne ni shilling ngapi vya huo mda.
Wanakula tsh ngp kwa mwez mkuu,,,na unawalisha gram ngp per day wakiwa na miez mi3....tubadirishane ujuz nimeestimate cause chotara 200wa umri huo binafs huwa natumia lak 2 per monthBro sio kweli kuku 500 wa miezi 3 wale laki 4 tu!! Nimefuga na ninafuga. Kuku 500 hadi kutaga isipungue mil 6
Bnafsi sijawahi fuga kuku wa mayai but this december ndo nitaanzaMjomba wiki nne si washakuwa kabisa
Bro sio kweli kuku 500 wa miezi 3 wale laki 4 tu!! Nimefuga na ninafuga. Kuku 500 hadi kutaga isipungue mil 6
Kampuni ni nyingi lakini Silverland ndio baba lao. Kuku 500 tray 1 1per day ni uhaiikaMkuu nina mpango wa kufanya huo mradi, naomba unifahamishe yafuatayo. Kwa sasa ni kampuni gani nzuri inatoa vifaranga wazuri hasa hawa wa mayai (layers), kifaranga kimoja ni bei gani kwenye hiyo kampuni. Umedai kwa vifaranga 500 mfuko wa shati iwepo 6M ni sawa, je kwa hao vifaranga wakianza kutanga hutoa trei ngapi kwa siku na wanadamu kwa wastani huo kwa muda gani?
Usipende kujaribu best🥳 Fanya kweli👏Fanya majaribio kwanza huanze na kuku 100 biashara ya kuku wa mayai, inategemea mkono wa mtu na bahati sio kingine.
Kampuni ni nyingi lakini Silverland ndio baba lao. Kuku 500 tray 1 1per day ni uhaiika
Usipende kujaribu best[emoji3060] Fanya kweli[emoji122]
Watafiti walishagundua kuku na biashara yake kiujumla inalipa sana,,
Changamoto ni utekelezwaji,,
Kuku bei ni ya kawaida sana ila matunzo from housing structures(Mabanda yanayohitajika yakidhi vigezo), vaccination (chanjo) and Feed Ration Formulation(Mchanganyiko Bora wa chakula kulingana na umri...
Pitia mwongozo wa hicho kitabu [emoji577][emoji577][emoji577]