Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana imewekwa namba ya simu kama mtu unahitaji maelezo zaidi unapiga kuuliza.
Usiwe mkali mkuu,kila mtu akipiga simu utaweza kutuhudumia kwanini usijibu hapa kwa faida ya wengi?
Jitahidi kujibu maswali ambayo unahisi yatakuwa common kwa faida ya wateja wako na kukupunguzia muda wa kumuelekeza mmoja mmoja.Ndio maana imewekwa namba ya simu kama mtu unahitaji maelezo zaidi unapiga kuuliza.
Customer care ndio haswa tatizo kubwa TzNdio maana imewekwa namba ya simu kama mtu unahitaji maelezo zaidi unapiga kuuliza.
Hivi hajui hata mtaani mikoba ipo?Jitahidi kujibu maswali ambayo unahisi yatakuwa common kwa faida ya wateja wako na kukupunguzia muda wa kumuelekeza mmoja mmoja.
Jitahidi kujibu maswali ambayo unahisi yatakuwa common kwa faida ya wateja wako na kukupunguzia muda wa kumuelekeza mmoja mmoja.
Mdomo ndiye mchawi mkubwa.Kabisa kabisa halafu mtu akikosa wateja anasingizia amelogwa.
Hovyo kabisa...!
Mdomo ndiye mchawi mkubwa.
Unaulizwa unakuwa mkali...