el pincaso
Member
- Dec 13, 2016
- 67
- 55
Kigambon maeno ya dar zooKigamboni sehemu gani?
Bei zinaendajeKigambon maeno ya dar zoo
Hiko cha m 3 kinakua na ukubwa gan?Kuanzia mlioni 3 kuendelea...cuz tunauza kulingana na square miters
Kinakuwa na ukubwa wa square miterz 400 yaan miguu 20_20Hiko cha m 3 kinakua na ukubwa gan?
Ujasema ofisi zenu zina patikana eneo gani?Property international limited
Inajihusisha na uuzaji wa viwanja vilolivyopimwa na Barbara ndan ya miradi yetu...
Miradi hiyo ipo
Kigambon
Mlandizi
Bagamoyo
Mwenye uhitaji,
Contact:0652066570
0694089561
...malipo n kwa awamu yaani instalments...zaidi ya miez 14 unalipia kiwanja chako na HATI unapewa kutoka wizara ya Ardhi...
View attachment 1680120View attachment 1680122View attachment 1680123View attachment 1680125View attachment 1680124
Posta nazani, ni kampuni ya wahindi...! Wapo njema, nazani wamekuja kufanya mapinduzi makubwa sana, na sio kampuni ngeni au mpya... Ila mwaka huu naona wamekuja na speed Kali sana
Posta nazani, ni kampuni ya wahindi...! Wapo njema, nazani wamekuja kufanya mapinduzi makubwa sana, na sio kampuni ngeni au mpya... Ila mwaka huu naona wamekuja na speed Kali sana
Ofisi zpo mtaa wa shaurimoyo na Lindi pale Ilala opposite na data star collage ...Kuna ghorofa maarufu inaitwa MARIAM TOWER...tuko flour namba 8 ...tunatoa na HATI kutoka wizara ya Ardhi
Zpo MAENEO ya Ilala mtaa wa shaurimoyo na Lindi Kuna ghorofa moja inaitwa MARIAM TOWER zaman KULIKUWA NA TRA...TUKO SERIOUS SAANA NA SHUGHULI HIZI TANGU MWAKA 2014 na tumeshatoa hati nyiiing
Weka namba za simZpo MAENEO ya Ilala mtaa wa shaurimoyo na Lindi Kuna ghorofa moja inaitwa MARIAM TOWER zaman KULIKUWA NA TRA...TUKO SERIOUS SAANA NA SHUGHULI HIZI TANGU MWAKA 2014 na tumeshatoa hati nyiiing