Plot4Sale Tunauza viwanja ambavyo vimepimwa na kampuni yetu inaitwa PROPERTY INTERNATIONAL LIMITED

Plot4Sale Tunauza viwanja ambavyo vimepimwa na kampuni yetu inaitwa PROPERTY INTERNATIONAL LIMITED

Kwa kigamboni kiwanja cha eka 1 Bei gani?
Inategemea na mrad cuz heka mojo Ni sawa na sqmiters 4045...Sasa miradi yetu inaanzia shiling elfu 10000 na kuendelea so heka moja Ni sawa na milioni 40 hv....ambayo utailipa taratibu kwa miezi 15 ambapo hati Ni juu yetu...
 
Inategemea na mrad cuz heka mojo Ni sawa na sqmiters 4045...Sasa miradi yetu inaanzia shiling elfu 10000 na kuendelea so heka moja Ni sawa na milioni 40 hv....ambayo utailipa taratibu kwa miezi 15 ambapo hati Ni juu yetu...
Aysee
 
N fixed ila kwa viwanja vikubwa Kama vya mashule, hospitali ndo Bei inaweza kupunguza
 
Nachukia sana mtu anaposema miguu katika dunia hii ya sasa ya metric system. I hate it

Pole sana mkuu, hapo kasema squre meter 400 na wapo baadhi hawaelewi ndio maana kafafanua hivyo. Kuna watu ukiwaambia squre meter 400 haelewi ni ukubwa gani
 
Back
Top Bottom