el pincaso
Member
- Dec 13, 2016
- 67
- 55
- Thread starter
-
- #21
Inategemea na mrad cuz heka mojo Ni sawa na sqmiters 4045...Sasa miradi yetu inaanzia shiling elfu 10000 na kuendelea so heka moja Ni sawa na milioni 40 hv....ambayo utailipa taratibu kwa miezi 15 ambapo hati Ni juu yetu...Kwa kigamboni kiwanja cha eka 1 Bei gani?
0652 066570 au 0694 089561Weka namba za sim
Kam kilomitet 19 hivKigamboni viko umbali gani kutoka feri?
Nifahamishe
AyseeInategemea na mrad cuz heka mojo Ni sawa na sqmiters 4045...Sasa miradi yetu inaanzia shiling elfu 10000 na kuendelea so heka moja Ni sawa na milioni 40 hv....ambayo utailipa taratibu kwa miezi 15 ambapo hati Ni juu yetu...
Karbu sana ndugu namba yangu 0652066570Aysee
Je, hii Bei inapungua au ni fixed?heka moja Ni sawa na milioni 40 hv....
Mlandizi bado vipo?N fixed ila kwa viwanja vikubwa Kama vya mashule, hospitali ndo Bei inaweza kupunguza
Nachukia sana mtu anaposema miguu katika dunia hii ya sasa ya metric system. I hate itKinakuwa na ukubwa wa square miterz 400 yaan miguu 20_20
Nachukia sana mtu anaposema miguu katika dunia hii ya sasa ya metric system. I hate it