Plot4Sale Tunauza viwanja kwa ajili ya makazi au biashara, vilivyopimwa katika miji ya Arusha na Moshi

Plot4Sale Tunauza viwanja kwa ajili ya makazi au biashara, vilivyopimwa katika miji ya Arusha na Moshi

Kibosho 1200 bei gani?
Vipi kibosho road /shine , au mji wa kibosho juu kule ??

Nimeuliza hivi Kwa sababu Bei inatofautiana , kumbuka kibosho road/shine IPO KARIBU na barabara kuu ya kwenda arusha
 
Vipi kibosho road /shine , au mji wa kibosho juu kule ??

Nimeuliza hivi Kwa sababu Bei inatofautiana , kumbuka kibosho road/shine IPO KARIBU na barabara kuu ya kwenda arusha
Kibosho weka pricelist ili mtu awe na option
 
Kiwanja kinauzwa Njiro 24ml SQM 700
Kuna HUDUMA zote za kijamii...kama maji..umeme....KARIBU...0672701329
 
Nyumba Ina uzwa USA MANDELA million 50.... IPO KARIBU na HUDUMA zote za kijamii kama maji na umeme..... KARIBU.....0672701329

 
Kiwanja Cha ukubwa wa 40x50 KILICHOPO kibosho road
Njia ya kuelekea hope international school......kinauzwa....
HUDUMA zote za kijamii kama 👉🏿 maji....👉🏿umeme. Vipo KARIBU


Na kiwanja kimepimwa.....kina hati mmiliki...mmiliki anahitaji millioni 65 tuu ila unaweza lipa Kwa awamu....ndani ya mwakan..


KARIBU...0672701329




img-20240906-wa0000-jpg.3088706
 

Attachments

  • IMG-20240906-WA0000.jpg
    IMG-20240906-WA0000.jpg
    182.1 KB · Views: 30
Majengo Kwa mtei ya juu...hapa Moshi MJINI Kuna kiwanja Cha ukubwa wa 50x50 kinauzwa....Bei millioni 45 , kinafaa sana Kwa ujenzi wa FREMU maana kiwanja kinatazama barabara ya lami ya dsm..KARIBU for more. 0672701329..
 
ARUSHA....ARUSHA.....ARUSHAAAAAAAA...........
THE REPUBLIC OF CHUGASTANI........... NJIRO........KIWANJA HICHOOOO

KIWANJA KINA UZWA NJIRO
Kina mazingira mazurii Sana
Kina SQM 800
Kina faa kwa miradii
Kina faa kwa makazii pia
Kina full title dead
Kipo umbali wa Mita 150
Bei yake ni million 75
Maongezii yapo pia
Ukipenda njoo ukutanishwe na wenye kiwanja.....0672701329..
-1039395913.jpg
-1961274012.jpg


1164167231.jpg



Asante..
 
Majengo Kwa mtei ya juu...hapa Moshi MJINI Kuna kiwanja Cha ukubwa wa 50x50 kinauzwa....Bei millioni 45 , kinafaa sana Kwa ujenzi wa FREMU maana kiwanja kinatazama barabara ya lami ya dsm..KARIBU for more. 0672701329..
UPDATES

KIWANJA KIMEUZWA LEO TAREHE 27 SEPT.2024



ASANTENI
 
KIWANJA CHA UKUBWA WA HEKA MOJA NA ROBO KILICHOOPO SANGO WILAYA YA MOSHI , KARIBU NA SHULE YA EBENEZER CHENYE HATI HALALI YA UMILIKI KINAUZWA KWA BEI YA SHILLINGI MILLIONI 17.....

KWA MAWASILIANO ZAIDI......0672701329
 
Back
Top Bottom