Si mchezo kwa kweli.Hata kama unaweka guest/ hotel ya 3 star kwa gharama ya 3bn shilling yenye vyumba vya self 20..... na vinajaa kila siku 30,000@ kwa kila siku utakusanya 600,000-18% vat 600,000 -108000= net income 492000 ×30×12= itakuchukulia karibia miaka 40 kurudisha pesa yako,...... hata mkopo wa IMF/World bank ni miaka 20 kulejeshwa iweje ni wekeze niaze kupata faida baada ya miaka 40.
Yaani mita 15 kwa 19.. Ndio unauza mill.900 ??• Mahali: Mapipa, barabara ya Morogoro
• Hadhi: imepimwa
• Ukubwa: mita za mraba (sqm) 350
• Nyaraka: hati
• Bei: TZS 900,000,000 au mbia wa kujenga apartments, offices, n.k
• Kupelekwa kuona: TZS 20,000
.
Call/Watsap: +255767157788
.
inatazama Morogoro Road • kuna nyumba ndani yake • inafaa kwa uwekezaji wa showroom, apartments, offices, n.k • umeme na maji vipo
.
Mali zaidi kwa makazi, biashara au viwanda, kununua au kupanga tembelea: Bestates Tanzania View attachment 1920105View attachment 1920106View attachment 1920107
Vyumba 30 kwny kiwanja cha sq.350 ??Hata kama unaweka guest/ hotel ya 3 star kwa gharama ya 3bn shilling yenye vyumba vya self 20..... na vinajaa kila siku 30,000@ kwa kila siku utakusanya 600,000-18% vat 600,000 -108000= net income 492000 ×30×12= itakuchukulia karibia miaka 40 kurudisha pesa yako,...... hata mkopo wa IMF/World bank ni miaka 20 kulejeshwa iweje ni wekeze niaze kupata faida baada ya miaka 40.
Vyumba 30 kwny kiwanja cha sq.350 ?? Kweli mkuu kakiwaja ni kadogo sana naona huyu dalali akili zake haziko sawa 20×18=370sqm kwa kweli ata ukiamuwa kuwaka vyoo vya kulipia public toilet bado nikadogo sanaa.
Sio kweli, vyumba vinne vinatosha vizuri SanaYaani mita 15 kwa 19.. Ndio unauza mill.900 ??
Yaani hata nyumba ya vyumba vi 4.. Kiwanja hakitoshi
Kwa vyumba 30 anamaanisha litakuwa ni ghorofa. Pale kkoo vile viwanja vingi vina sqm 300 lakini ghorofa zaidi ya 10 zinajengwaVyumba 30 kwny kiwanja cha sq.350 ??
Kuwa serious kidogo.. Hyo hata vyumba vi 4 havifiki
Ikiwa ghorofa je?Yaani mita 15 kwa 19.. Ndio unauza mill.900 ??
Yaani hata nyumba ya vyumba vi 4.. Kiwanja hakitoshi
... hesabu ni janga la kitaifa kwa kweli!Mkuu hiyo sio 9bn ni milioni mia tisa yaani 9,000,000,000
Hapa ndo nilipochoka, yani per month hiyoService charge: US$ 160/month
$240,000/= Almost 552,000,000M za kitanzania. Kwa picha hizo it is beautiful.
Daah nchi ngumu hiiApartment hiyo inauzwa kwa pesa taslimu au mkopo