dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
Sio lazima uchangie ,man upUngeweka sawa kuwa imepigwa X ila ukaifuta.
Sio lazima uchangie ,man upUngeweka sawa kuwa imepigwa X ila ukaifuta.
KmUmbali gani kutoka Morogoro Road
Km 1 mkuuUmbali gani kutoka Morogoro Road
Hahah ni mbinu tu za kuwavuta watejaMbona mnaiuza sasa na msiitoe bure kama bei ni sawa na bure 😀😀😀
Bure, acha utani.Nyumba inauzwa .ni ya vyumba viwili kimoja master.iko mbezi luguluni.ukubwa wa Eneo 25 kwa 20.umbali toka bara bara ya morogoro road ni 1km
Nyumba ina hati
Bei milioni 18.
Mawasiliano kwa muitaji pmView attachment 733308View attachment 733310View attachment 733313
Utani upi mzeeBure, acha utani.
Pamoja sana mkuu.. nakuzengua tuHahah ni mbinu tu za kuwavuta wateja
Poa poa Mkuu ,ningeshangaa mangi usingelijua iloPamoja sana mkuu.. nakuzengua tu
Yaah ila i hope umeshapata mteja.. maan the place iko powa. Hofu yangu nimeona ni kama kumedidimia chini ila kama unajiridhisha hakuna possibility ya maji kipindi cha mvua i think utapata mtejaPoa poa Mkuu ,ningeshangaa mangi usingelijua ilo
Yani maji hayafik kabisa,na uzuri kipindi ichi cha mvua mtu unajionea kabisa na sio kuhisi ,wateja wanakuja wengi tu isipokua kwenye bei tu wanakua na ya kiwango cha chini,nimepata kama kumi apa apa Jf tukashidwana kwenye bei tu ndo maana ndo natafutaYaah ila i hope umeshapata mteja.. maan the place iko powa. Hofu yangu nimeona ni kama kumedidimia chini ila kama unajiridhisha hakuna possibility ya maji kipindi cha mvua i think utapata mteja
Market strategyBure, acha utani.
Njoo uichukuenahitaji hiyo nyumba nina shilingi. bure
Kawaida hizo ni mita.Hizo 20×25 zipo kwenye unit zip(meter,feets etc). Usiniambie kama ni hatua za miguu
Ni kweli kabisa duhReasonable price! Tatizo v. vimekaza.