Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
ladyfurahia lipo flat kama hili kongowe kibaha hekari 5..je unaweza kuuza kwa hekari chache yaani heka 5 hivi au unauza lote kwa bei hiyo maana hiyo bei ghali sana mkuu ungekuwa unakataka heka
Bei gani?ladyfurahia lipo flat kama hili kongowe kibaha hekari 5..
vipi ungependa kuchukua?
million tatu kwa hekari mkuu..Bei gani?
Umbali km ngap mpaka bara baranimillion tatu kwa hekari mkuu..
eneo ni flat zuri..kama si kilimo basi unaweza weka shughuli za ufugaji.
Weka picha tafadhalikuna shamba langu la heka 20, naliuza lina kisima kirefu 75miters, heka 3 zina drip, deasel engine na outonater, nyumba ya wafanyakazi pamoja na vijana wawili wapo shamba, kila kitu kipo tayari kuanza kulima hata kesho. nauza 30million tu. Lipo 5km from kibiti secondary gari ndogo inafika mpaka Shamba, pia kuna majirani kutoka dar na wanaendelea na projects. Mazungunzo yapo
Kwa muitaji tuwasiliane pm
Picha zipo katika Uzi huu Mkuu.fuatilia taratibu utazionaWeka picha tafadhali
hajapima mkuu..but sio mbali sana kutoka barabarani.Umbali km ngap mpaka bara barani
Nimekuchek pmhajapima mkuu..but sio mbali sana kutoka barabarani.
na eneo linafikika kirahisi
Jibu ilo Mkuu sio swaliVyuma?
Kwa mathias sehemu gani,,,na kina ukubwa gnKiwanja kinauzwa kibaha kwa Mathias.bei 3.5 million. Umbali toka morogoro road 4km.kuna makazi ya watu tayari .huduma zote za kijamii zinapatika .kwa muitaji tuwasiliane pm
Ukubwa 20 kwa 20 vipo vinne vyote 20 kwa 20Ukubwa wake?