je unaweza kuuza kwa hekari chache yaani heka 5 hivi au unauza lote kwa bei hiyo maana hiyo bei ghali sana mkuu ungekuwa unakataka heka
ladyfurahia lipo flat kama hili kongowe kibaha hekari 5..
vipi ungependa kuchukua?
 
Weka picha tafadhali
 
Kiwanja kinauzwa kibaha kwa Mathias.bei 3.5 million. Umbali toka morogoro road 4km.kuna makazi ya watu tayari .huduma zote za kijamii zinapatika .kwa muitaji tuwasiliane pm
 
Kiwanja kinauzwa kibaha kwa Mathias.bei 3.5 million. Umbali toka morogoro road 4km.kuna makazi ya watu tayari .huduma zote za kijamii zinapatika .kwa muitaji tuwasiliane pm
Kwa mathias sehemu gani,,,na kina ukubwa gn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…