Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Singida tumeshawafunga kabla hata ya menchi. Hawa jamaa wana alama zetu 6 kila msimu. Kwahiyo wala hawatuumizi kichwa. Ni timu ya Mwigulu Nchemba ambaye ni mtu wetu, kwahiyo mechi rahisi hii.
Wana Yanga leo hesabuni alama 3 hapa, hakuna lolote la kutuzuia.
Wana Yanga leo hesabuni alama 3 hapa, hakuna lolote la kutuzuia.