Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mwananchi 🚶Kwahiyo leo Mwigulu atashabikia timu gani?
Mmeona kandanda tunalopiga?Mpira wa Tanzania yanawezekana kabisa haya yaliyosemwa.
Lengo letu kila mmoja aondoke na yai akaakaange nyumbani,tutawapatia mayai 11Nliwaambia... Mnaona kandanda tunalotandaza? 🤣🤣🤣🤣🤣
Mmeona kandanda tunalopigaMpira wa Tanzania yanawezekana kabisa haya yaliyosemwa.
Salamu ziwafikie simba,huo ni uzoefu mchache kutoka kimataifa, tunaendelea kujipanga ndani na njeeMmeona kandanda tunalopiga
Hata sisi simba tuna pointi zetu 12 kwa Namungo fc na mwenzake Coastal Union.Singida tumeshawafunga kabla hata ya menchi. Hawa jamaa wana alama zetu 6 kila msimu. Kwahiyo wala hawatuumizi kichwa. Ni timu ya Mwigulu Nchemba ambaye ni mtu wetu, kwahiyo mechi rahisi hii.
Wana Yanga leo hesabuni alama 3 hapa, hakuna lolote la kutuzuia.
Kama mlivyoyachuma kwa namungo ambayo ni mwembe wenu wa uani, tokea ipande ligi kuu aijawai kupata ushindi dhidi ya makolo kwa kuwa ni tawi lenuNaona leo Utopolo mnaenda kuchuma maembe katika mti wenu wa uani.
Kwa simba hamna kitu. Simba hawajui kucheza hii michezo. Wanajifanya wabishi watanyea debe. Yanga tupo vizuri. Singida atawasumbua Simba tu siyo sisi.Hata sisi simba tuna pointi zetu 12 kwa Namungo fc na mwenzake Coastal Union.
Ni vile tu Azam fc ameamu kutuaibisha msimu huu. Ilikuwa tuwe na pointi zetu 15-18 za uhakika kutoka kwenye haya matawi yetu matatu.