Wakati nikiwa katika shughuli zangu za kawaida nikaona ni vema tujadili mambo haya:
1. Shule za kata zilianzishwa kuimarisha elimu nchini lakin zimegeuka na kudidimiza elimu zaidi, kama serikali imeshindwa kuziboresha ni vema zifungwe?
2. Kufuatia maazimio ya EFA (Education for all) ya mwaka 1992, watu wote wanatakiwa kupata elimu sawa. Je, hii itawezekanaje kwa wale ambao wana uwezo mdogo darasani ambao PLATO aliwaita "Iron boys"
3. Kwa vile imeonekana kuwa shule zilizokuwa zinaitwa za vipaji maalum kuondoa O'levels mnamo mwaka 2008, elimu ya ngazi hiyo ya elimu inazid kudolola mwaka hadi mwaka. Je, inabidi turudishe O'levels katika shule hizi?
Nimeona tujadili mambo haya kwa mustakabali wa taifa letu kwa kuzingatia kwamba waboreshaji wakuu wa elimu yetu ni sisi wemyewe na sio kuitegemea serikali tutabakia kulalamika. Tafakari, chukua hatua.
Naomba kuwasilisha mada ndugu zangu wana JF
1. Shule za kata zilianzishwa kuimarisha elimu nchini lakin zimegeuka na kudidimiza elimu zaidi, kama serikali imeshindwa kuziboresha ni vema zifungwe?
2. Kufuatia maazimio ya EFA (Education for all) ya mwaka 1992, watu wote wanatakiwa kupata elimu sawa. Je, hii itawezekanaje kwa wale ambao wana uwezo mdogo darasani ambao PLATO aliwaita "Iron boys"
3. Kwa vile imeonekana kuwa shule zilizokuwa zinaitwa za vipaji maalum kuondoa O'levels mnamo mwaka 2008, elimu ya ngazi hiyo ya elimu inazid kudolola mwaka hadi mwaka. Je, inabidi turudishe O'levels katika shule hizi?
Nimeona tujadili mambo haya kwa mustakabali wa taifa letu kwa kuzingatia kwamba waboreshaji wakuu wa elimu yetu ni sisi wemyewe na sio kuitegemea serikali tutabakia kulalamika. Tafakari, chukua hatua.
Naomba kuwasilisha mada ndugu zangu wana JF