Tunawapenda sana kwa sababu mnatufariji

Tunawapenda sana kwa sababu mnatufariji

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Tunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo.

Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule anayejitambua na kujua wajibu wake.

lvv.jpg
 
Tunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo.

Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule anayejitambua na kujua wajibu wake.
View attachment 2139894









Lakini huyo dada sialitumbukia kichwa chini miguu juu mshikaji akaona kitumb..a😁😁
 
Tunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo.

Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule anayejitambua na kujua wajibu wake.
View attachment 2139894
Huyo sholi si atadumbukia kweli??.
 
Picha iliofata demu alidumbukia majini ikabidi mwamba amsaidie kumnunulia gauni jipya na kumpeleka geto kwake akabadilishe 😅

Kilichofuata Yna2 atasimulia vizuri
 
Back
Top Bottom