Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ndio ukweli tulionaoOoh halleluyaah!!..
Salama kabisa mkuuMkuu kwema?
Ndipo maigizo yanapoanziaWengi nafuata wepesi wa maisha.
Ndio ukweli ulivyo mkuuDuh,jamani [emoji119]
Mzee yupo pale kumpambania mkuuHuyu Bidada kwa hesabu za form two C, ni kama atatua kwenye maji hapo...
Nje ya mada
Nitaileta mkuuAiseeee hakuna picha ya muendelezo
Tunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo.
Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule anayejitambua na kujua wajibu wake.
View attachment 2139894
Huyo sholi si atadumbukia kweli??.Tunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo.
Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule anayejitambua na kujua wajibu wake.
View attachment 2139894
Salama kabisa mkuu