TUNAWAPONYAJE WATOTO KAMA HAWA KIHISIA?

TUNAWAPONYAJE WATOTO KAMA HAWA KIHISIA?

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
Ni kweli mtoto wako ana akili kwa sababu anapata A. Na hapo unaanza kumkaririsha kuwa atakuwa daktari, injinia n.k

Mbele ya safari anajua kuwa na uwezo mkubwa lakini hafanikiwi kufikia yale malengo ya kuwa daktari au Injinia.

Hapo ndipo anaanza kujihisi mjinga. Je, huyu mtoto anasaidiwaje kwenye mazingira ya jamii yaliyomjengea mawazo hayo?

Naamini hili limetokea wanafunzi wengi kidato cha sita. Je, mlikabiliano nalo vipi? Au Liliwaathiri vipi kiakili pale ambapo hukufikia alama za kukuweka kwenye ila sauti uliyoimbiwa toka ukiwa mtoto ya kuwa daktari au injinia??

Naomba tusaidia kwa sababu hiki kitabu kinanipa maswali mengi sana. Na nitayaleta hapa.
 
Ni kweli mtoto wako ana akili kwa sababu anapata A. Na hapo unaanza kumkaririsha kuwa atakuwa daktari, injinia n.k

Mbele ya safari anajua kuwa na uwezo mkubwa lakini hafanikiwi kufikia yale malengo ya kuwa daktari au Injinia.

Hapo ndipo anaanza kujihisi mjinga. Je, huyu mtoto anasaidiwaje kwenye mazingira ya jamii yaliyomjengea mawazo hayo?

Naamini hili limetokea wanafunzi wengi kidato cha sita. Je, mlikabiliano nalo vipi? Au Liliwaathiri vipi kiakili pale ambapo hukufikia alama za kukuweka kwenye ila sauti uliyoimbiwa toka ukiwa mtoto ya kuwa daktari au injinia??

Naomba tusaidia kwa sababu hiki kitabu kinanipa maswali mengi sana. Na nitayaleta hapa.
Maisha huwa yanabadilika
Na sisi wanadamu tuna mipango yeti naye Mungu ana mipango yake.

Kama anaona hawezi kabisa basi aanzie ngazi za chini kutimiza ndoto zake.

Tunao marafiki wengi walisoma PCB na wakafaulu vizuri na ndoto zao zilikuwa ni udaktari
Ila wameishia kusomea fani nyingjne kabisa tofauti na afya,na wanaenjoy maisha.
 
kufanikiwa au kutofanikiwa ni majaaliwa kumbuka hakuna mwenye uhakika wa jambo fulani kuwa ni sahihi..ushauri wangu watoto waendelee kukaririshwa lengo kutowavunja moyo anapokuwa mkubwa ataweza kujiongeza kupitia maarifa aliyokwisha yapata.
 
Maisha huwa yanabadilika
Na sisi wanadamu tuna mipango yeti naye Mungu ana mipango yake.

Kama anaona hawezi kabisa basi aanzie ngazi za chini kutimiza ndoto zake.


Tunao marafiki wengi walisoma PCB na wakafaulu vizuri na ndoto zao zilikuwa ni udaktari
Ila wameishia kusomea fani nyingjne kabisa tofauti na afya,na wanaenjoy maisha.
Mfano n mm aisee nilipiga PCB nilikuwa na ndoto za kuwa Dr. Lakini ndo ivo niko kwenye fani nyengine kabisa nakula maisha ambayo ukiniambia niwe dr ss ivi sitaki tena kabisa yaan
 
Back
Top Bottom