GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
MKE wa mtoto wa Mfalme wa Uingereza, Sophie Hellen Rhys-Jones (kushoto) akisalimiana na Viongozi mbalimbali kutoka wizara ya Afya alipowasili katika kituo Cha Afya Cha mlandizi kilichopo Mkoani wa Pwani, (katikati) ni Waziri wa wizara hiyo, Jenista Mhagama.
Sophie anatarajia kutembelea kituo hicho kujionea hali ya utoaji huduma za matibabu ya macho.
Chanzo: habarileo_tz
Mwambieni Boss wenu sasa kama hawa hawana Umuhimu Kwake na Hawamtishi mbona Wamepokelewa tena Leo?
Cc: Mwanafunzi wangu niliyembeba Masomoni mno Chuoni Lucas Mwashambwa na Chawa Dunduka ChoiceVariable
Sophie anatarajia kutembelea kituo hicho kujionea hali ya utoaji huduma za matibabu ya macho.
Chanzo: habarileo_tz
Mwambieni Boss wenu sasa kama hawa hawana Umuhimu Kwake na Hawamtishi mbona Wamepokelewa tena Leo?
Cc: Mwanafunzi wangu niliyembeba Masomoni mno Chuoni Lucas Mwashambwa na Chawa Dunduka ChoiceVariable