Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Haahaahaaa kumekucha ngoja aje kiduku Lilo akuambie yeye demu wake alimnunulia mosino pea moja kwa USD 30000 huko Paris.
Si unajua tena tajiri kama yeye alivyo mzee wa cash money anaweza atoe zaidi ya hiyo halafu akaacha na keep change kama ya USD 10000 kwa kumuonea huruma mhudumu wa Gucci shoppers branch ya Paris aliyemuuzia Mosino pea moja chezea tajiri wa JF weye?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dooh...mbona Mimi Sina mossimo
Nilikupiga mzinga ukanichomolea 😣Hawa mabwana wametuinua sana. Dada zetu sikuhizi wanapiga mizinga ya kununuliwa Mossimo, na sio viatu vya bei kubwa
Kwa trend ya sasa, Wanawake nadhani nusu yao hapa Tanzania wanavaa Mosimo
Na huko mtaani kila mdada ni Mjasiliamali wa kuuza Mossimo
Vinawapendeza sana Hivi viatu licha ya kuwa bei chee.
View attachment 1710030
Kongole kwa Mossimo kwa kuturahisishia maisha.
Nilikupiga mzinga ukanichomolea [emoji21]
Nikija utanizungusha weee Kama huelewi vile, inasikitisha kuona rafiki akinitenga kiasi hiki..Aaaah wapii, njoo tuyajenge
Upo Geita ndani ndani huko mossimo utazijulia wapi?Dooh...mbona Mimi Sina mossimo