Tunawashukuru watengenezaji wa viatu vya Mossimo

Tunawashukuru watengenezaji wa viatu vya Mossimo

Hazchem plate

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
11,048
Reaction score
15,465
Hawa mabwana wametuinua sana. Dada zetu sikuhizi wanapiga mizinga ya kununuliwa Mossimo, na sio viatu vya bei kubwa

Kwa trend ya sasa, Wanawake nadhani nusu yao hapa Tanzania wanavaa Mosimo

Na huko mtaani kila mdada ni Mjasiliamali wa kuuza Mossimo

Vinawapendeza sana Hivi viatu licha ya kuwa bei chee.

IMG_6438.jpg




Kongole kwa Mossimo kwa kuturahisishia maisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si unajua tena tajiri kama yeye alivyo mzee wa cash money anaweza atoe zaidi ya hiyo halafu akaacha na keep change kama ya USD 10000 kwa kumuonea huruma mhudumu wa Gucci shoppers branch ya Paris aliyemuuzia Mosino pea moja chezea tajiri wa JF weye?
 
Hawa mabwana wametuinua sana. Dada zetu sikuhizi wanapiga mizinga ya kununuliwa Mossimo, na sio viatu vya bei kubwa

Kwa trend ya sasa, Wanawake nadhani nusu yao hapa Tanzania wanavaa Mosimo

Na huko mtaani kila mdada ni Mjasiliamali wa kuuza Mossimo

Vinawapendeza sana Hivi viatu licha ya kuwa bei chee.

View attachment 1710030



Kongole kwa Mossimo kwa kuturahisishia maisha.
Nilikupiga mzinga ukanichomolea 😣
 
Back
Top Bottom