Endeleeni kuoa vijana , wake za watu sio wachoyo kabisa ngumu akubanie alichopewa bure labana awalinde pia endeleeni kuhudumia vizuri na sisi tule minofu .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labana ndo nani???? Alafu kijana unakuwa na akili za kiwaki namna hii!!!! Tunza rinda lako we tamba na wakikunyandua uje kuanzisha uzi hapa
Endeleeni kuoa vijana , wake za watu sio wachoyo kabisa ngumu akubanie alichopewa bure labana awalinde pia endeleeni kuhudumia vizuri na sisi tule minofu .