sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Dp world waje ila kwa mkataba wa miaka mitano mitano, kila baada ya miaka mitano kuwe na option ya kuwaruhusu waendelee kukiwa na ufanisi ama waondoke wakizingua.
Kama Dp World hataki kuwa na mkataba wa miaka mitano, ije hata hio kampuni ya kigeni ambayo imepewa tenda kuendesha bandari ya Zanzibar kwa miaka mitano. ( mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadam mchungu, walitaka sisi tutoe bandari yetu milele wao ya kwao isimamiwe kwa miaka 5)
Bandarini kumejaa urasimu wa kujuana na rushwa kibao.
Watu wananenepeana kama nguruwe kwa kuendekeza rushwa, msione watu wanasomesha watoto wao familia nzima na michepuko huko feza boys / girls, majumba ya kifahari, magari ya kifahari, n.k. RUSHWA, RUSHWA L, RUSHWA!!
Kama Dp World hataki kuwa na mkataba wa miaka mitano, ije hata hio kampuni ya kigeni ambayo imepewa tenda kuendesha bandari ya Zanzibar kwa miaka mitano. ( mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadam mchungu, walitaka sisi tutoe bandari yetu milele wao ya kwao isimamiwe kwa miaka 5)
Bandarini kumejaa urasimu wa kujuana na rushwa kibao.
Watu wananenepeana kama nguruwe kwa kuendekeza rushwa, msione watu wanasomesha watoto wao familia nzima na michepuko huko feza boys / girls, majumba ya kifahari, magari ya kifahari, n.k. RUSHWA, RUSHWA L, RUSHWA!!