Tunawekwa katika madaraja ya kibaguzi.

ogopa sana ktk ajira wakija kutaka watu waliosoma private schools tangu primary hadi university hapo ndipo gap kati ya aliyenacho na asiyenacho litakuwa kubwa maradufu...ole wao!
 
aina shida nitajilipa tu nikija pata kitengo si wameninyima wenyewe tuslaumiane mbele uko
 

Pimbi ni shangazi au Mkeo!!

Hivi unafanya vizuri kuwatetea watu walioboronga kwenye uoaji wa mikopo? Ni watu wangapi wamelalama kuwa pamoja na kuwa na viambatanisho vyote muhimu lakini bado wametemwa? Narudia tena vigezo vyao walivyoweka kwenye system yao havitoshi kutoa taswira halisi ya wahitaji wa mikopo "Gagulo mkubwa wewe". Hilo swali la kuwa kama tungekuwa wasemaji wa mwisho wa Bodi mwende muulizane na Mkeo/Mmeo!!
 

Wewe ni moja ya watu wanaoamini kwamba mwanamke anafanyiwa discriminated,,,,hizo ni hisia ndugu yangu,,,cha msingi ni kuweka usawa kwa watu wote,,,,ni sahii kabisa dhana ya kubaguana hipo ndani ya nchi hii,,,ukitaka kuamini nenda heslb saizi ujionee mwenyewe,,watu wenye ndugu pale wanakuja wanapiga cm,,walinzi unasikia tu mtu fulani ingia ndani,,,hiyo ni dalili gan?wakati kuna watu wamekuja asubuhi na mapema,,mpaka anaondoka ajaingia ndani!tutafika kweli namna hii?undugulism upo sana nchii,,,sijui mkuu wa nchi aoni?
 
Tatizo viongozi wetu wa sasa wamesahau kwamba wakati wao wanasoma Baba wa Taifa,Nyerere aliweka mazingira ya usawa kwa kila mtu mwenye sifa kupata elimu ya juu,,,nyerere aisee mungu amlaze pema peponi,,baba huyo,,,lakini ebu angalia maisha ya viongozi wetu wa sasa wanawakumbuka wananchi,,,mimi binafsi nilitegemea kauli ya serikali katika swala hilo la wanafunzi kukosa mikopo,,,uku wakikumbuka wao walisoma kwa kodi za wananchi.ni kosa kubwa sana kuingia madarakani na kuvaa miwani ya mbao kuangalia matatizo ya wananchi,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…