Napingana na wewe katika baadhu ya maeneo;
1.kuhusu kupendelea wanawake (si busara kusema hivo),jamii zetu za kiafrika zilikua na desturi za kuundergrade wanawake,kitu ambacho ni tofauti na haki za binadamu.Kwahiyo affirmative actions kama kuwapa nafasi kwenye sekta za uongozi,elimu,kazini,siasa nk nk ili kupunguza gender discrimination...
2.kuhusu elimu ya juu si vyema kusema kuwa baadhi ya michepuo imeshushwa hadhi, ni kwamba baada ya kuona kuwa kuna uhitaji mkubwa wa wanasayansi,michepuo ya sayansi ilipewa vipaumbele ili kuwapa motisha wanafunzi wasome hayo masomo....
3.kuhusu nikopo,nahisi nchi yetu haina uwezo wa kuwapatia wanafunzi wote hiyi mkopo,so inabidi ichaguo baadhi ya wanafunzi watakaonufaika na hiyo mikopo,,hapa ni hekima zaidi kuwapa wale wenye uhitaji,swali la kujiuliza ni;
Ni vipi utawatambua hao wenye uhitaji mkubwa wa mkopo...??