Tunayopenda Tusahau

Yurri,
Sote ni wanafunzi hapa tunasoma:
  1. BAADA YA KUONDOKA BABA WA TAIFA TANZANIA BADO INAUNGA MKONO PALESTINA? SIKU YA QUDS - STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR
  2. BALOZI WA TANZANIA ISRAEL
  3. SHEIKH ALI SALEH ALIIUNGA MKONO PALESTINA AKITUMIA MEMBARI YA MSIKITI WA KITUMBINI MIAKA YA 1940
Soma na hii:
 
Shekue alirudi kugombea ubunge tanga mjini kupitia CCM mwaka 2020 kura hazikutosha amestaafu akiwa katibu wa CCM wilaya huko manyara.
 
A. Sykes hakua mdini, bali purely nationalistic. Ukisoma hiki kitabu kina taswira mbili;kwanza ni maisha ya kihistoria yake [account ya Historia ya Tanzania]-na ndio ubora wa hiki kitabu ulipo, na pili ni tafsiri ya Mwandishi Juu ya Historia hiyo ya A. Sykes[his thesis ya Uislam na Uhuru wa Tanganyika]-ambayo to me, ni flawed view. So, kama unapenda kuijua historia yetu, its a must-read, but with open mind.
 
that...
Ahsante sana.
 
Cover photo ya hicho kitabu inapalilia chuki na kama sikosehi kinachoongelewa hapa ni mauaji yaliyotokana na fujo za Mwembechai - Magomeni. Ni bahati nzuri niseme huu ulikuwa ni utawala wa Mwinyi.
Yaani hapa tayari umeshawakilisha jina lako yaani Mbuzi
Tena ni mbuzi fulani ya maporini inakurupukia vitu hata havielewi, utafakamia majani ya kisamvu utavimba tumbo mbuzi wewe
Na kufuatilia utumbo wote ulioandika humu unaonyesha kabisa ni mporipori na mlugaluga wa vijijini
Kama hujui kitu kaa kimya kenge wewe sio unashobokashoboka kama mdada mwenye mimba changa mbuzi wewe
 
Huyu ni moja kati ya wazee wa hovyo kabisa kuwahi kutokea, n8 mdini,mchochezi na mbaguzi mkubwa.
 
Mbussi,
Sina msimamo wowote dhidi ya dini yeyote.

Wala hakuna ushahidi popote kuwa Uislam ulipata kupanga njama dhidi ya dini nyingine.

Soma kitabu cha Abdul Sykes uone historia ya Waislam katika kujenga umoja.

Tazama picha hizo hapo chini:
Wewe huna lingine unaloweza kuandika,au wewe ni mwandishi wa waislamu?
 
Wewe huna lingine unaloweza kuandika,au wewe ni mwandishi wa waislamu?
Yve...
Nimeandika mengi kuhusu Uislam na Waislam Tanzania.

Sababu ya kufanya hivi ni pale nilipogundua kuwa wanahistoria wa Tanzania walikuwa wanaikwepa historia hii.

Huwa napokea msg mfano wa hiyo hapo chini kutoka kwa watu wengi sana:

''Mtu anaweza kuviona kama ni vitabu vya kawaida lakini kwangu ni moja ya vitabu vilivyonifanya nitetee hoja kwa kujiamini na ujasiri kwani vimenitoa katika ombwe kubwa ...

Allah akuzidishie kheri ndugu yangu...''
 
Huyu ni moja kati ya wazee wa hovyo kabisa kuwahi kutokea, n8 mdini,mchochezi na mbaguzi mkubwa.
Yve...
Husemi kweli.
Wabaguzi, wachochezi, wadini nk ni wale waliovunja EAMWS kwa kuwa ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.

Wabaguzi, wadini, wachochezi ni wale waliokataa kutoa kibali OIC kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Wabaguzi, wadini nk ni wale waliofuta historia ya kweli ya kupigania uhuru wa Tanganyika kwa hofu ya Uislam.

Mbaguzi na mchochezi siwezi kuwa mimi kwa kutahadharisha haya nchini petu.

Kiswahili kizuri ni "ovyo," si "hovyo."

Sifa hizo za udini nk.
Si zangu.

Wenye sifa hizi wanajijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…