Tunazidi kuchanja mbuga Hipipo awards 2017 nyie baki na cocein na heroin-Diamond is the winner.

Tunazidi kuchanja mbuga Hipipo awards 2017 nyie baki na cocein na heroin-Diamond is the winner.

Mtoa thread hii jiangalie asee kwa uongo wako, alikiba mbili kachukua katika vipengele alivokuwa anawania,na diamond kachukua tuzo moja katik vipengele vi NNE alivokwa amepangiwa kuwa makini acha kudangny wtu ktk iz tuzo za hip hop
 
Sijui amenunua bei gani? [HASHTAG]#HamoRapaForMTVAwads[/HASHTAG]
 
basi sawa tumeelewa lakin, sasaiv tupo bizy kidogo na sakata letu la madawa! tuna list kubwa naomba mtuache kidogo na diamond wenu taifa linatutegemea!

ilo lilikuwa jibu la makonda baada ya kuulizwa sawali na wanajamii!
 
mleta Uzi umemsahau alikiba kashinda pia kwenye hizo tu ,nawaomba wana jf mnavo leta Uzi uwe umejitosheleza sio nusu nusu kama alivyo fanya huyu
 
Kwakuwa ni mtanzania na wewe ni mtanzania unaonaje ukimfungulia wewe uzi kuliko kumlazimisha mtanzania mwingine ambaye hajaona umuhimu wakufanya hivyo.
Duh nshajua nabishana na mtu mwenye akili ndogo sana aisee
 
mleta Uzi umemsahau alikiba kashinda pia kwenye hizo tu ,nawaomba wana jf mnavo leta Uzi uwe umejitosheleza sio nusu nusu kama alivyo fanya huyu
Kafungue uzi wako wa kibakuli mwenye sauti ya kishoga huku ni simba tu boya sana ww
 
Hater!Kiba jana karudia kile kiporo cha Dodoma,kwa taabu tena kwa kusaidiwa na Abdu kiba
alikiba anahusikaje hapa ? nilikuwa sipo fan wa kiba siku nyingi ila nimeanza kumuelerwa recently kutokana na nyioe wajinga flani mtu akimcritisize diamond basi mnaanza alikiba .kwani alikiba ndo kaandika hapa.kwani nikimpenda diamond siwezi kumpenda ali kiba? au nikimchukia diamond lazima nimpende alikiba? katawaze huko hujui hata muziki wewe umezaliwa jana unashoboka tu hapa
 
alikiba anahusikaje hapa ? nilikuwa sipo fan wa kiba siku nyingi ila nimeanza kumuelerwa recently kutokana na nyioe wajinga flani mtu akimcritisize diamond basi mnaanza alikiba .kwani alikiba ndo kaandika hapa.kwani nikimpenda diamond siwezi kumpenda ali kiba? au nikimchukia diamond lazima nimpende alikiba? katawaze huko hujui hata muziki wewe umezaliwa jana unashoboka tu hapa
wewe unajua kutawaza?
 
Tumewachoka na sifa zenu za kijinga asubiri simu ya madereva tu
kuna watu wajinga sana humu jf eti ukimkosoa diamond wanaanza kumtaja aly kiba kwani ukimkosoa diamond ni kwamba unamchukia? na ni lazima ukimchukia diamond uwe ni mtu wa ali kiba?
 
Tumewachoka na sifa zenu za kijinga asubiri simu ya madereva tu
nashukuru kwakulitambua hilo yaani hawa jamaa wanakera sana haiwezekani mleta Uzi alete taarifa ambayo haijakamilika yenye kubagua wasanii wetu tukae kimya why alikiba asimtaje wakati nae kashinda hizo tuzo
 
Back
Top Bottom