Tuncel:"DNA ya Bayern Munich ni Ushindi tu"

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
TT sio kocha yaani unamuanzshaje benchi Cancelo,Mane,Muller mbwa uyu
 
Kafurushwaaaaa huko UCL [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dayot upemacano anagawana mshahara na tuchel

Mechi ya 1 kasababisha goli 2

Mechi ya 2 kanusurika umeme kasababisha penati kasababisha goli lakn hakutolewa h nje Kama substution

Kuna watu wanabahati zao

Mane n flopp pale Bavarian
 
Dayot upemacano anagawana mshahara na tuchel

Mechi ya 1 kasababisha goli 2

Mechi ya 2 kanusurika umeme kasababisha penati kasababisha goli lakn hakutolewa h nje Kama substution

Kuna watu wanabahati zao

Mane n flopp pale Bavarian
Aisee Mane hajaflop ni basi tu kakosa formation nzuri ila naamini under TT atajipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…