$5 ni Tshs11,500/= johIt means parachichi 1 ni 2400 sio hapa kwetu hadi 1000 mbona kama sawa tu
Mjinga, kuwa makini.$5 ni Tshs11,500/= joh
5/5$ mean matunda matano ni dola tano au mi ndo sinaelewa?$5 ni Tshs11,500/= joh
Asante kwa kumwelewesha huyu binadamu!!!Mjinga, kuwa makini.
Bango linasema 5 pieces/ 5 dollars.
Hakuna tofauti kubwa hizo bei. Parachichi kubwa Tanzania linauzwa mpaka sh 1500/- , huko kwao ni dollar 1(sh 2300/)Jambo lilonishangaza baada ya mzungu mmoja kutoka ufaransa kufakamia maparachichi.
Nikamuuliza mbona unakula sana haya maparachichi ndipo kunifungulia ukweli kuwa ni bei sana kwao .
Kumbe tuna vyakula ambavyo tunachukulia ni vya kawaida ila kwa wenzetu vikawa vya kitajiri sana.
View attachment 2174091
Yale ya hivyo yanaitwaga makubwa jinga. dude kubwa kama kichwa ila lina ladha ya maji.upuuzi mtupu. Mbeya na kilimanjaro ndiyo product yenye radha.sema zile mbegu zinatafutwa ili ziuwawe zipotelee mbali.tuendelee kuagiza za wenzetu kama walivyofanikiwa kwenye matikiti,mpunga na mahindi.Tatizo ya bongo species kama zinazopatikana BUKOBA zimejaa maji ni testless, labda zile za kilimanjaro na mbeya
Parachichi 1500 tamu,ila haya yenye maji 500 bei ya kawaida kwa hapa bongoIt means parachichi 1 ni 2400 sio hapa kwetu hadi 1000 mbona kama sawa tu
Ni yale yale tu akuna cha ajabu apo sijui mreta mada kachanganyikiwa wapi apo ?Parachichi 1500 tamu,ila haya yenye maji 500 bei ya kawaida kwa hapa bongo