Tunda ananikwaza na tabia yake ya kujiachia achia hovyo na midume na kupiga picha za nusu utupu

Tunda ananikwaza na tabia yake ya kujiachia achia hovyo na midume na kupiga picha za nusu utupu

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Kwa kweli hamna kitu anachonikwaza Tunda kama nikimuona akijiachia achia hovyo na midume ya ajabu ajabu ajabu huwa nagadhibika sana.

Yaani naona kabisa siku hizi anataka kuwa kama hawa vinuka mkojo akina Gigy Money na Amber Lulu maana hawa hawajui kabisa thamani ya mwanamke ndio maana kila kukicha wanayaanika anika hovyo maumbile yao.

Sasa naumia kumuona Tunda anazidi kupotea siku hizi ,sijui anakosa nini huyu binti daah .

Sina mengi mengine ngoja nibaki nayo tu moyoni nitayatoa siku zijazo .

Screenshot_2017-11-19-15-22-21.jpg


Screenshot_2017-11-19-14-31-57.jpg
 
Ndio biashara yake hiyo si alikika akisema ana mjengo hapa mjini ndo kwa biashara io so usishangae
 
Pili pili usio ilaa inakuwashia nini??????...acha wenzako watafune mainii..pesa tu ndo mchawii
 
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sema vyuma vimekaza tu mkuu... Pesa pesa pesa, mjini pesa kama huna utaishia kulia tu humu JF
 
Back
Top Bottom