Tunda ananikwaza na tabia yake ya kujiachia achia hovyo na midume na kupiga picha za nusu utupu

Tunda ananikwaza na tabia yake ya kujiachia achia hovyo na midume na kupiga picha za nusu utupu

Aiseèee!!

Kanishawishi kugonga kimoko cha fasta hapa maana si kwa uzuri huo.

Tunda Akhsante
 
Kwa kweli hamna kitu anachonikwaza Tunda kama nikimuona akijiachia achia hovyo na midume ya ajabu ajabu ajabu huwa nagadhibika sana.

Yaani naona kabisa siku hizi anataka kuwa kama hawa vinuka mkojo akina Gigy Money na Amber Lulu maana hawa hawajui kabisa thamani ya mwanamke ndio maana kila kukicha wanayaanika anika hovyo maumbile yao.

Sasa naumia kumuona Tunda anazidi kupotea siku hizi ,sijui anakosa nini huyu binti daah .

Sina mengi mengine ngoja nibaki nayo tu moyoni nitayatoa siku zijazo .

View attachment 633693

View attachment 633694
Sio ndugu yako,siyo demu wako siyo rafiki yako siyo mtoto wako,anachokukwaza nini? kwa nini uendelee kumfatilia kwenye SM zake?
 
Nikiona tu neno Tunda humu najua ni post ya Hance...!
 
Kwa kweli hamna kitu anachonikwaza Tunda kama nikimuona akijiachia achia hovyo na midume ya ajabu ajabu ajabu huwa nagadhibika sana.

Yaani naona kabisa siku hizi anataka kuwa kama hawa vinuka mkojo akina Gigy Money na Amber Lulu maana hawa hawajui kabisa thamani ya mwanamke ndio maana kila kukicha wanayaanika anika hovyo maumbile yao.

Sasa naumia kumuona Tunda anazidi kupotea siku hizi ,sijui anakosa nini huyu binti daah .

Sina mengi mengine ngoja nibaki nayo tu moyoni nitayatoa siku zijazo .

View attachment 633693

View attachment 633694

Kwa nini uumie, nature inamuweka mtu katika position yake. Huyo ndio yeye, na hayo ndio anavyotaka aonekane.
Kuna issues nyingi muhimu kwako, hebu zifanyie kazi kwanza.
 
Back
Top Bottom