Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Muache hance. Anampendaga huyo msichanaKereka tena kufaaaaaa maana mtakuwa mmetupunguzia wanaume mazwazwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache hance. Anampendaga huyo msichanaKereka tena kufaaaaaa maana mtakuwa mmetupunguzia wanaume mazwazwa
Aiseeee [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Katika malengo yangu ya 2017 ilikuwa kumgegeda huyu demu ila naona mwaka unakata sihatimiza lengo langu.. ngoja niendelee kutafuta hela *****
Mmmmh we acha tu aisee huyu mtoto ataniua siku si zangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakufa na wivu hance [emoji23][emoji23][emoji23]
Kunamuathiri yeye haswa kwny magonjwa ila kingine ni impact mbaya kwa jamii inayomzunguka kwa maana si tamaduni zetu hizooNilitaka nimuulize kutokuvaa na kutumika hovyo kwa huyu binti kunamwathiri vipi kiuchumi na kimaisha kwa ujumla?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] daa haya bhanaHaka kabinti kazuri sasa hiyo picha ya mwisho huyo njemba mbona anaonekana kama nyuki wa mashine.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] eti na ww umetumia pesaSijawahi kukutana na binti mwenye kiuno kigumu kama huyu
Yaani sitamsahau
Hamumjui tu
Watu kwa sifa mko vizuriSijawahi kukutana na binti mwenye kiuno kigumu kama huyu
Yaani sitamsahau
Hamumjui tu
Kwangu tanhu lini aliwah kuwa na thaman mkuuKwa kweli hamna kitu anachonikwaza Tunda kama nikimuona akijiachia achia hovyo na midume ya ajabu ajabu ajabu huwa nagadhibika sana.
Yaani naona kabisa siku hizi anataka kuwa kama hawa vinuka mkojo akina Gigy Money na Amber Lulu maana hawa hawajui kabisa thamani ya mwanamke ndio maana kila kukicha wanayaanika anika hovyo maumbile yao.
Sasa naumia kumuona Tunda anazidi kupotea siku hizi ,sijui anakosa nini huyu binti daah .
Sina mengi mengine ngoja nibaki nayo tu moyoni nitayatoa siku zijazo .
View attachment 633693
View attachment 633694
Mkuu kumbe una siku zako pia? hahahaMmmmh we acha tu aisee huyu mtoto ataniua siku si zangu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa kweli hamna kitu anachonikwaza Tunda kama nikimuona akijiachia achia hovyo na midume ya ajabu ajabu ajabu huwa nagadhibika sana.
Yaani naona kabisa siku hizi anataka kuwa kama hawa vinuka mkojo akina Gigy Money na Amber Lulu maana hawa hawajui kabisa thamani ya mwanamke ndio maana kila kukicha wanayaanika anika hovyo maumbile yao.
Sasa naumia kumuona Tunda anazidi kupotea siku hizi ,sijui anakosa nini huyu binti daah .
Sina mengi mengine ngoja nibaki nayo tu moyoni nitayatoa siku zijazo .
View attachment 633693
View attachment 633694