Yani wewe unaogopa ukimwi?? Ushindwe kula raha kisa ukimwi??Huyo ndo wewe?
Usemacho na ulivo ni sahihi kwa hadhi ya ukutanao
Kumbuka UKIMWI upo unaua.
Me tooHuyo ndo wewe?
Usemacho na ulivo ni sahihi kwa hadhi ya ukutanao
Kumbuka UKIMWI upo unaua.
Macho yamelowa bangi pua imesawazishwa na komoni USO umechachalishwa na mbege utakosa qenzio Kweli?tulia wewe acha presha najua mlaini sana maji moja
So sadYani wewe unaogopa ukimwi?? Ushindwe kula raha kisa ukimwi??
Sadness will perish you my loveSo sad
Wanaume wamekua rahisi sana siku hizi, hawafanyi kazi. ni kutongoza wanawake tu, hawafikiri kitu kingine na Wengi family zinawashinda. Fanyeni kazi acheni kutongoza kila siku.
Hakuna Kipato kinachotosha, lazima uwe na budget kulingana na malengo yako, mapenzi sio basic need, huwezi punguza pesa ya kulipa chumba kwa sababu ya Mapenzi. Kama unataka kuanzinisha Biashara Ndogo lazima ubane hio pesa Ndogo unayoipata sasa. ila kama mawazo yako kwenye kutongoza hutaona thamani ya mia moja unayoweka kwenye sim kwa ajili ya kumpigia dem. Tafuta pesa.Shida siyo kutofanya kazi, shida ni kipato. Tunafanya kazi sana ila hela ndiyo haionekani.
Mapenzi ni moja ya basic needs kwa sasa.
Hakuna Kipato kinachotosha, lazima uwe na budget kulingana na malengo yako, mapenzi sio basic need, huwezi punguza pesa ya kulipa chumba kwa sababu ya Mapenzi. Kama unataka kuanzinisha Biashara Ndogo lazima ubane hio pesa Ndogo unayoipata sasa. ila kama mawazo yako kwenye kutongoza hutaona thamani ya mia moja unayoweka kwenye sim kwa ajili ya kumpigia dem. Tafuta pesa.
Huyo ndo wewe?
Usemacho na ulivo ni sahihi kwa hadhi ya ukutanao
Kumbuka UKIMWI upo unaua.