Tunda limekuwa rahisi sana kupata tofauti na zamani

Tunda limekuwa rahisi sana kupata tofauti na zamani

Teknolojia, upatikanaji wa matunda umerahisishwa.... pia wanawake wamestukia kuwa tunda ni chanzo cha kipato.

Mwinyi aliwapiga dongo kuwa uchumi wanaukalia!

cc: muokotamatunda [emoji276]
 
Wahenga waeshimiwe.

Zamani ulikuwa unaweza mlilia mtu miezi mitatu unaishia kuoneshwa chupi na upati kitu, tunda unalisotea miaka na miaka unaambiwa mpaka ndoa.

Oooooooh sasa hivi ukisema tu suuu wanasema swaaaaaa ilo apo
mmekutana asubui jioni unaitwa mume na tunda unapewa.

nawapa salama
msalimieni MWIJUMA MUMINI NA WIMBO WAKE WA TUNDA SPESHO
popote ulipo tunda jisitiri
View attachment 1691604
Ndio maana yule TUNDA analiwa hovyo hovyo
 
Pole S
Shida ya elimu za kukaririshana. Mwafrika ukimwambia ataje vitu ambavyo ni basics needs atakuambia
1. Food
2. Shelter
3. Clothes
Zama tulizo nazo
Mapenzi, simu, gari, computer n.k ni basics needs. Angalia watu ambao hawana wapenzi, akili zao zinavyokuwa. Km kichaa
Tangu umeanza kutafuta pesa una milion 70 benk? Unaweza usilipie kodi ukaenda kula raha na mtoto mzuri. Hiyo pesa unayoibana kuanzisha biashara, unaweza usione hata faida yake
Pole sana
 
Dah kweli,tunda leo mnalitolea kashfa,tuangalie lisije kurudi kwenye ugumu ikawa shida.
 
Simu zimerahisisha sana,,,

Ukitia muamala wa AIRTEL money..

Kazi kwisha.
 
Unakutana na fake ambazo ni over used Ndiyo ambazo huwa rahisi kupatikana !
 
Mkuu si kwamba limekuwa rahisi bali wewe ndiyo umekuwa na uzoefu uneongezeka. Leseni yako inakuruhusu kuendesha Magari makubwa na madogo lakini pia inaruhusu kuendesha mitambo kama trekta( Malaya).
Kuna kamanda mmoja humu alishawahi kuelezea hiki kitu...
Issue nzima ya nature + roho.
yaan vinakuwa suggest tuu!

kama ilivyo youtube + google vile unavyovigoogle kila siku ndo vinavyokuja vyenye mfanano na kile ulichogoogle so kinakuwa kama suggestion same as youtube...lets say unasearch video za Raisi Magufuli,youtube engine inakuwa tayari imeshakumark wewe ni mtu wa aina gani..yaan siku nyingine utaona suggestion mara ya bunge limejadili blaa blaa flani,mara mkuu wa mkoa atoa onyo! nk nk

Sasa huyo roho yake ilishakuwa accepted kiumalaya umalaya..ndio maana anakuwa na suggestions nyingi za wanawake.

Kwani hajawahi ona binti ana umri mdogo lakini anatafunwa na wazee tuu??? Kila kukicha anapata masuggestions tuu ya wazee wazee?[emoji23][emoji23]

Sasa sijajua kama nimeeleweka kwa mwandiko nao mbovu kdg.
 
Back
Top Bottom