Ndio maana yule TUNDA analiwa hovyo hovyoWahenga waeshimiwe.
Zamani ulikuwa unaweza mlilia mtu miezi mitatu unaishia kuoneshwa chupi na upati kitu, tunda unalisotea miaka na miaka unaambiwa mpaka ndoa.
Oooooooh sasa hivi ukisema tu suuu wanasema swaaaaaa ilo apo
mmekutana asubui jioni unaitwa mume na tunda unapewa.
nawapa salama
msalimieni MWIJUMA MUMINI NA WIMBO WAKE WA TUNDA SPESHO
popote ulipo tunda jisitiri
View attachment 1691604
Alikuwa rais Mwinyi bhana๐Nyerere aliwapiga dongo kuwa uchumi wanaukalia!
Alikuwa rais Mwinyi bhana[emoji41]
Na Corona pia inauaHuyo ndo wewe?
Usemacho na ulivo ni sahihi kwa hadhi ya ukutanao
Kumbuka UKIMWI upo unaua.
Pole sanaShida ya elimu za kukaririshana. Mwafrika ukimwambia ataje vitu ambavyo ni basics needs atakuambia
1. Food
2. Shelter
3. Clothes
Zama tulizo nazo
Mapenzi, simu, gari, computer n.k ni basics needs. Angalia watu ambao hawana wapenzi, akili zao zinavyokuwa. Km kichaa
Tangu umeanza kutafuta pesa una milion 70 benk? Unaweza usilipie kodi ukaenda kula raha na mtoto mzuri. Hiyo pesa unayoibana kuanzisha biashara, unaweza usione hata faida yake
Mtu wa kuja huyu๐....dogo ongea lugha yako, usijifanye Mmarekani mweusi wakati hauna loloteWhen the deal too good think twice ma nigga
Account yangu ilidukuliwa, sikua mimi.Mtu wa kuja huyu๐....dogo ongea lugha yako, usijifanye Mmarekani mweusi wakati hauna lolote
Pole S
Pole sana
๐๐๐
Kuna kamanda mmoja humu alishawahi kuelezea hiki kitu...Mkuu si kwamba limekuwa rahisi bali wewe ndiyo umekuwa na uzoefu uneongezeka. Leseni yako inakuruhusu kuendesha Magari makubwa na madogo lakini pia inaruhusu kuendesha mitambo kama trekta( Malaya).